Nimeongea na matapeli kadhaa politely majibu waliyonipa nimehitimisha kuwa kadri elimu inavyokua upumbavu nao unakua kwa kasi

Nimeongea na matapeli kadhaa politely majibu waliyonipa nimehitimisha kuwa kadri elimu inavyokua upumbavu nao unakua kwa kasi

Ongezea Chief Godlove,
Yupo jamaa anatumia jina hilo humu na hoja yake ni moja tu "tafuta hela"
.........................
Naunga mkono hoja kuwa kuna " positive correlation coefficient " kati ya uliyoyataja
 
Kwahiyo unataka wamalize shule uzeeni? Kwani umri wa kuanza darasa la kwanza ni miaka mingapi?

Ujinga ni mwingi siku hizi, nina mtoto form six kureport shuleni bado anapelekwa na mama yake, mimi form shuleni nilikwrnda kureport mwenyewe tena miaka hiyo ya S.l.p mpo assembly waliotumiwa barua wanaitwa kuchukuwa barua zao wewe huna wa kukutumia barua.
Great
 
Watafute nawale wazee wa kusuka mikeka unawapa hela wanakusukia mkeka huku wakidai ni uhakika watakwambia wanavowatapeli watu wengi.
Mimi wale jamaa wakija inbox KUNIUZIA sure odds nawaambia kama ni sure na wewe unawapiga sana basi bila shaka una pesa nyingi sasa leo kwakuwa unasema mkeka wa 10k tapata 15milioni. Basi chukua milioni 1 tu kati ya mamilioni uliyovuna weka mkeka wa uvune 1.5 bilion uache kukesha Facebook na Instagram
 
Huyu aliepewa funguo ndo nimecheka sana, but ukiwa na tabia zifuatazo wewe lazima utapeliwe
1.kupenda vitu vya bei chee
2.kutaka mafanikio Kwa haraka
3.kufanya maamuzi Kwa mhemuko (emotional) badala ya kutumia akili
4.kumuamini binadamu mwenzako kirahisi
5.kupenda muujiza wa kuombewa zaidi kuliko kufanya kazi
6.kushikwa kichwa na wanaojiita manabii na mitume
7. Kuwasikiliza motivational speaker
8.kutamani mafanikio ya wengine...
9.✍️
 
Huyu aliepewa funguo ndo nimecheka sana, but ukiwa na tabia zifuatazo wewe lazima utapeliwe
1.kupenda vitu vya bei chee
2.kutaka mafanikio Kwa haraka
3.kufanya maamuzi Kwa mhemuko (emotional) badala ya kutumia akili
4.kumuamini binadamu mwenzako kirahisi
5.kupenda muujiza wa kuombewa zaidi kuliko kufanya kazi
6.kushikwa kichwa na wanaojiita manabii na mitume
7. Kuwasikiliza motivational speaker
8.kutamani mafanikio ya wengine...
9.✍️
Nashukuru hatua hizo zote nimezipitia na Mabadiliko yangu yamekuwa kwa Kasi sana, now I'm free entity
 
Juzi kuna mdada kapigwa visenti vya mpesa na Bank jamaa wamepunyua! Ni hawa wasajili line wanaopita mitaani, wakamwambia waifanye line yake isome 5G kutoka 4G, akawapa simu, jamaa chaap, wakahack line , na wakawa na access ya kuingia account zake!, baada ya kumkabidhi simu yake, wakamwambia baada ya dk itakuwa sawa....jamaa wakachomoa Mil 5 bank na Mpesa nako wakakomba.
 
Afisa Ugani (Agriculture Executive Officer)alienda kumtembelea Mkulima wake,,wakabahatika kupanda mbegu katika shamba darasa na ameanza mashamba darasa hata kabla ya ajira
Agriculture Extension Officer
 
Mimi mbona maisha yangu yote Sijawahi Tapeliwa toka nizaliwe Unajua nashangaa sana nkisikia mtu kaingizwa kingi.Mbinu ya Tapeli akikupeleka hivi fanya unafuata upepo ila Sasa Usimwamini ndo hapo wengi wanaponiogopa wakidhani nimechanjiwa
 
Back
Top Bottom