Nimeongea na matapeli kadhaa politely majibu waliyonipa nimehitimisha kuwa kadri elimu inavyokua upumbavu nao unakua kwa kasi

Nimeongea na matapeli kadhaa politely majibu waliyonipa nimehitimisha kuwa kadri elimu inavyokua upumbavu nao unakua kwa kasi

Juzi kuna mdada kapigwa visenti vya mpesa na Bank jamaa wamepunyua! Ni hawa wasajili line wanaopita mitaani, wakamwambia waifanye line yake isome 5G kutoka 4G, akawapa simu, jamaa chaap, wakahack line , na wakawa na access ya kuingia account zake!, baada ya kumkabidhi simu yake, wakamwambia baada ya dk itakuwa sawa....jamaa wakachomoa Mil 5 bank na Mpesa nako wakakomba.
Bado nchi ina watu wajinga sana.
 
Mitandao yote ya kijamii matapeli wamejaa ila Facebook kwasababu ina watumiaji wengi kuliko mitandao mingine huko ndiko kuna matapeli concord.

Shemeji yangu mhitimu wa chuo cha kilimo kaliwa na mjemba mmoja aliyejifanya mwajiri. Kampanga wakutane Iringa amwajiri akamzungusha kuwa yuko mbali mpaka giza linaingia akajifanya anamlipia lodge akamla na ajira hajampa.

Binti mwingine aliliwa na tapeli aliyejifanya kumkabidhi nyumba aliyomnunulia . Kampa funguo kabisa kamla na nyumba hajapewa wala kuiona.

Nancy Moshi kavuma kidogo tu matapeli zaidi ya 20 wameibuka wanajilia pesa za wapumbavu kirahisi. Eti anatoa ajira za ukondakta wa mabasi.

MO Dewji kupitia jina lake kutengeneza matapeli zaidi ya 20.
Tulia Ackson
Samia
Nandy Supermarket
Kajala
Shishi baby
Freemasons
JWTZ
JKT
UNICEF
UNDP

Hapa sijawaweka wale wa kukutumia video chafu ambazo wanapakua lakini wajinga wanaambiwa ni zao.

Kwenye uchumba

Nilipowahoji wanasema wanapiga pesa nzuri tu, wanadrive, wanajenga n.k

Na wateja wao wakubwa ni wasomi.

Hii maana yake ni kwamba vijana wengi kadri wanavyosonga mbele kielimu ndipo ujinga huwasogelea zaidi.
Matapeli wa viwanja makurunge Bagamoyo
Wahanga
Mabalozi
Wabunge
Mawaziri
Majaji
Makatibu wakuu
Ma rc
Ma dc
Wanasheria wa serikali nk 😂
 
Mitandao yote ya kijamii matapeli wamejaa ila Facebook kwasababu ina watumiaji wengi kuliko mitandao mingine huko ndiko kuna matapeli concord.

Shemeji yangu mhitimu wa chuo cha kilimo kaliwa na mjemba mmoja aliyejifanya mwajiri. Kampanga wakutane Iringa amwajiri akamzungusha kuwa yuko mbali mpaka giza linaingia akajifanya anamlipia lodge akamla na ajira hajampa.

Binti mwingine aliliwa na tapeli aliyejifanya kumkabidhi nyumba aliyomnunulia . Kampa funguo kabisa kamla na nyumba hajapewa wala kuiona.

Nancy Moshi kavuma kidogo tu matapeli zaidi ya 20 wameibuka wanajilia pesa za wapumbavu kirahisi. Eti anatoa ajira za ukondakta wa mabasi.

MO Dewji kupitia jina lake kutengeneza matapeli zaidi ya 20.
Tulia Ackson
Samia
Nandy Supermarket
Kajala
Shishi baby
Freemasons
JWTZ
JKT
UNICEF
UNDP

Hapa sijawaweka wale wa kukutumia video chafu ambazo wanapakua lakini wajinga wanaambiwa ni zao.

Kwenye uchumba

Nilipowahoji wanasema wanapiga pesa nzuri tu, wanadrive, wanajenga n.k

Na wateja wao wakubwa ni wasomi.

Hii maana yake ni kwamba vijana wengi kadri wanavyosonga mbele kielimu ndipo ujinga huwasogelea zaidi.
Ukweli tu niseme Unicef aliwahi nipiga
 
Mitandao yote ya kijamii matapeli wamejaa ila Facebook kwasababu ina watumiaji wengi kuliko mitandao mingine huko ndiko kuna matapeli concord.

Shemeji yangu mhitimu wa chuo cha kilimo kaliwa na mjemba mmoja aliyejifanya mwajiri. Kampanga wakutane Iringa amwajiri akamzungusha kuwa yuko mbali mpaka giza linaingia akajifanya anamlipia lodge akamla na ajira hajampa.

Binti mwingine aliliwa na tapeli aliyejifanya kumkabidhi nyumba aliyomnunulia . Kampa funguo kabisa kamla na nyumba hajapewa wala kuiona.

Nancy Moshi kavuma kidogo tu matapeli zaidi ya 20 wameibuka wanajilia pesa za wapumbavu kirahisi. Eti anatoa ajira za ukondakta wa mabasi.

MO Dewji kupitia jina lake kutengeneza matapeli zaidi ya 20.
Tulia Ackson
Samia
Nandy Supermarket
Kajala
Shishi baby
Freemasons
JWTZ
JKT
UNICEF
UNDP

Hapa sijawaweka wale wa kukutumia video chafu ambazo wanapakua lakini wajinga wanaambiwa ni zao.

Kwenye uchumba

Nilipowahoji wanasema wanapiga pesa nzuri tu, wanadrive, wanajenga n.k

Na wateja wao wakubwa ni wasomi.

Hii maana yake ni kwamba vijana wengi kadri wanavyosonga mbele kielimu ndipo ujinga huwasogelea zaidi.
Huyo mhitimu wa kilimo ni wa SUA
 
Ujinga ni mwingi siku hizi, nina mtoto form six kureport shuleni bado anapelekwa na mama yake, mimi form shuleni nilikwrnda kureport mwenyewe tena miaka hiyo ya S.l.p mpo assembly waliotumiwa barua wanaitwa kuchukuwa barua zao wewe huna wa kukutumia barua.
Tunawaendekeza sana watoto siku hizi
 
Back
Top Bottom