MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Bado nchi ina watu wajinga sana.Juzi kuna mdada kapigwa visenti vya mpesa na Bank jamaa wamepunyua! Ni hawa wasajili line wanaopita mitaani, wakamwambia waifanye line yake isome 5G kutoka 4G, akawapa simu, jamaa chaap, wakahack line , na wakawa na access ya kuingia account zake!, baada ya kumkabidhi simu yake, wakamwambia baada ya dk itakuwa sawa....jamaa wakachomoa Mil 5 bank na Mpesa nako wakakomba.
Matapeli wa viwanja makurunge BagamoyoMitandao yote ya kijamii matapeli wamejaa ila Facebook kwasababu ina watumiaji wengi kuliko mitandao mingine huko ndiko kuna matapeli concord.
Shemeji yangu mhitimu wa chuo cha kilimo kaliwa na mjemba mmoja aliyejifanya mwajiri. Kampanga wakutane Iringa amwajiri akamzungusha kuwa yuko mbali mpaka giza linaingia akajifanya anamlipia lodge akamla na ajira hajampa.
Binti mwingine aliliwa na tapeli aliyejifanya kumkabidhi nyumba aliyomnunulia . Kampa funguo kabisa kamla na nyumba hajapewa wala kuiona.
Nancy Moshi kavuma kidogo tu matapeli zaidi ya 20 wameibuka wanajilia pesa za wapumbavu kirahisi. Eti anatoa ajira za ukondakta wa mabasi.
MO Dewji kupitia jina lake kutengeneza matapeli zaidi ya 20.
Tulia Ackson
Samia
Nandy Supermarket
Kajala
Shishi baby
Freemasons
JWTZ
JKT
UNICEF
UNDP
Hapa sijawaweka wale wa kukutumia video chafu ambazo wanapakua lakini wajinga wanaambiwa ni zao.
Kwenye uchumba
Nilipowahoji wanasema wanapiga pesa nzuri tu, wanadrive, wanajenga n.k
Na wateja wao wakubwa ni wasomi.
Hii maana yake ni kwamba vijana wengi kadri wanavyosonga mbele kielimu ndipo ujinga huwasogelea zaidi.
βββAgriculture Extension Officer
Kabisa mkuu , asante sana.Pata glass mbili hapo kwa mama muuza nitalipa.
KWANI HUJUI CHUO CHA KILIMO NCHI HII NI KIMOJA TU?Chuo cha kilimo ni pamoja na SUA?
Ukweli tu niseme Unicef aliwahi nipigaMitandao yote ya kijamii matapeli wamejaa ila Facebook kwasababu ina watumiaji wengi kuliko mitandao mingine huko ndiko kuna matapeli concord.
Shemeji yangu mhitimu wa chuo cha kilimo kaliwa na mjemba mmoja aliyejifanya mwajiri. Kampanga wakutane Iringa amwajiri akamzungusha kuwa yuko mbali mpaka giza linaingia akajifanya anamlipia lodge akamla na ajira hajampa.
Binti mwingine aliliwa na tapeli aliyejifanya kumkabidhi nyumba aliyomnunulia . Kampa funguo kabisa kamla na nyumba hajapewa wala kuiona.
Nancy Moshi kavuma kidogo tu matapeli zaidi ya 20 wameibuka wanajilia pesa za wapumbavu kirahisi. Eti anatoa ajira za ukondakta wa mabasi.
MO Dewji kupitia jina lake kutengeneza matapeli zaidi ya 20.
Tulia Ackson
Samia
Nandy Supermarket
Kajala
Shishi baby
Freemasons
JWTZ
JKT
UNICEF
UNDP
Hapa sijawaweka wale wa kukutumia video chafu ambazo wanapakua lakini wajinga wanaambiwa ni zao.
Kwenye uchumba
Nilipowahoji wanasema wanapiga pesa nzuri tu, wanadrive, wanajenga n.k
Na wateja wao wakubwa ni wasomi.
Hii maana yake ni kwamba vijana wengi kadri wanavyosonga mbele kielimu ndipo ujinga huwasogelea zaidi.
Huyo mhitimu wa kilimo ni wa SUAMitandao yote ya kijamii matapeli wamejaa ila Facebook kwasababu ina watumiaji wengi kuliko mitandao mingine huko ndiko kuna matapeli concord.
Shemeji yangu mhitimu wa chuo cha kilimo kaliwa na mjemba mmoja aliyejifanya mwajiri. Kampanga wakutane Iringa amwajiri akamzungusha kuwa yuko mbali mpaka giza linaingia akajifanya anamlipia lodge akamla na ajira hajampa.
Binti mwingine aliliwa na tapeli aliyejifanya kumkabidhi nyumba aliyomnunulia . Kampa funguo kabisa kamla na nyumba hajapewa wala kuiona.
Nancy Moshi kavuma kidogo tu matapeli zaidi ya 20 wameibuka wanajilia pesa za wapumbavu kirahisi. Eti anatoa ajira za ukondakta wa mabasi.
MO Dewji kupitia jina lake kutengeneza matapeli zaidi ya 20.
Tulia Ackson
Samia
Nandy Supermarket
Kajala
Shishi baby
Freemasons
JWTZ
JKT
UNICEF
UNDP
Hapa sijawaweka wale wa kukutumia video chafu ambazo wanapakua lakini wajinga wanaambiwa ni zao.
Kwenye uchumba
Nilipowahoji wanasema wanapiga pesa nzuri tu, wanadrive, wanajenga n.k
Na wateja wao wakubwa ni wasomi.
Hii maana yake ni kwamba vijana wengi kadri wanavyosonga mbele kielimu ndipo ujinga huwasogelea zaidi.
Tunawaendekeza sana watoto siku hiziUjinga ni mwingi siku hizi, nina mtoto form six kureport shuleni bado anapelekwa na mama yake, mimi form shuleni nilikwrnda kureport mwenyewe tena miaka hiyo ya S.l.p mpo assembly waliotumiwa barua wanaitwa kuchukuwa barua zao wewe huna wa kukutumia barua.
Ahahaha ππππUkweli tu niseme Unicef aliwahi nipiga