INJECTION TECHNICIAN
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 356
- 794
Mkuu unaeza kunipa mwanga kwny hiliMtafungwa 😎😎
Nani anayemshobokea mwezake Al AHLY a mimiNdoto za Shobo.
Cha ajabu timu alocheza nayo cjaijuaSio ndoto hii ni kweli
Teh teh teh teh teh teh teh....Habari za wikiendi na skukuu ya Baba wa Taifa. Bila kuchelewa ngoja niende kwenye mada husika.
Usiku wa jana kuamkia leo nileota ndoto ya ajabu mpaka hivi sasa cjajua inamaana gani.
Nimeota Al Ahly ya Misri ikishinda magoli 4-0 huku wapinzani wao sikuweza kuwaona ni timu gani.
Mwenye ujuzi wa hili naomba anisaidie.
Nawasilisha
Ndoto zako Baki nazo.Habari za wikiendi na skukuu ya Baba wa Taifa. Bila kuchelewa ngoja niende kwenye mada husika.
Usiku wa jana kuamkia leo nileota ndoto ya ajabu mpaka hivi sasa cjajua inamaana gani.
Nimeota Al Ahly ya Misri ikishinda magoli 4-0 huku wapinzani wao sikuweza kuwaona ni timu gani.
Mwenye ujuzi wa hili naomba anisaidie.
Nawasilisha
Utakuwa ulibanwa na mkojoHabari za wikiendi na skukuu ya Baba wa Taifa. Bila kuchelewa ngoja niende kwenye mada husika.
Usiku wa jana kuamkia leo nileota ndoto ya ajabu mpaka hivi sasa cjajua inamaana gani.
Nimeota Al Ahly ya Misri ikishinda magoli 4-0 huku wapinzani wao sikuweza kuwaona ni timu gani.
Mwenye ujuzi wa hili naomba anisaidie.
Nawasilisha
Afu aliyekuwa anafungwa ni Ayubu.Habari za wikiendi na skukuu ya Baba wa Taifa. Bila kuchelewa ngoja niende kwenye mada husika.
Usiku wa jana kuamkia leo nileota ndoto ya ajabu mpaka hivi sasa cjajua inamaana gani.
Nimeota Al Ahly ya Misri ikishinda magoli 4-0 huku wapinzani wao sikuweza kuwaona ni timu gani.
Mwenye ujuzi wa hili naomba anisaidie.
Nawasilisha
Achana na zama za giza hii hapa tulikua tusha hamia digitalmimi kama mtaalam wa kutafrisi ndoto kitakacho wakuta tena ni hiki
[emoji116]
View attachment 2781904