Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
ijumaa itatimia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zbc au u tvHii game itaoneshwa kupitia channel gani kwa hapa bongo
Shukrani kaka ivi zbc wao hawana 1 wala 2Zbc au u tv
Mara nyingi Huwa zbc2 maana hihi zbc ni stesheni ya serikali ya Zanzibar ni kama tbc kwetu bongoMwenye kufahamu kama zbc Wana zbc 1 au 2 naomba anifahamishe
Endelea kuota. Bahati nzuri haukujua inacheza na timu gani. Huenda ndoto yako inaweza kuwa ilishatimia nawe ulioteshwa marudio au itatimia siku yoyote hata kama si leo.Habari za wikiendi na skukuu ya Baba wa Taifa. Bila kuchelewa ngoja niende kwenye mada husika.
Usiku wa jana kuamkia leo nileota ndoto ya ajabu mpaka hivi sasa cjajua inamaana gani.
Nimeota Al Ahly ya Misri ikishinda magoli 4-0 huku wapinzani wao sikuweza kuwaona ni timu gani.
Mwenye ujuzi wa hili naomba anisaidie.
Nawasilisha
Hili nalo likaangaliweEndelea kuota. Bahati nzuri haukujua inacheza na timu gani. Huenda ndoto yako inaweza kuwa ilishatimia nawe ulioteshwa marudio au itatimia siku yoyote hata kama si leo.
Mkuu Nirushie na mi vitabu Nile nondoUnapata wapi muda wa kulala hadi kuota ndoto ndugu yangu?????
Kula vitabu mkuu