Mchochezi
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 10,962
- 7,830
Ndio nimeamka mida hii, ila usingizi wangu ulikuwa wa mang'amung'amu sana, nimeota Man utd ikiwa imetoa sare ya 2-2 dhidi ya Sevilla huku mpira ukiwa umeisha na wachezaji wa Sevilla wakiongozwa na Banega wakishangilia uwanja mzima wa Old traford.