Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akiota Lema sawa. Akiota mwingine hapana.Tusidanganyane apa hakuna kuota wala nini...wewe ulijua mipango mliyopanga kumfanyia jamaa sababu mlianza kusingizia mmeshinda, mkurugenzi aliyetoa ushahid mahakamani kuwa mlishindwa mkamtumbua...badae hiyo ndo plan B yenu...Mungu anawaona..what goes around...
Mkuu Mayala asante sana angalau kwa kujaribu kuweka mambo sawa najua kwa heshima yako labda hawa bin adam wanaweza angalau kuwa Na imani Na ninachokisema,Mimi bado nasisitiza ilikuwa ndoto .mkuu kuhusu Ndoto za kuelea angani hata Mimi nazipata sana kwa ufupi ni moja ya ndoto tamu sana zinapokutokea ila sijawahi kunga'mua nini maana yake wajuzi watakuja tu Na majibu tutayapataMkuu Mzushi, kwanza Hongera, pili mimi nakuamini, na tatu nabii huwa hakubaliki nyumbani.
Kitu kikubwa kuhusu wewe ni you have the powers!
Kwa msio jua, ndoto za kweli huwa zipo na zinaitwa lucid dreams.
Psychic Powers: Ni Nguvu za Kufanya Miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, Wewe Unazo?
"Will Powers!", "Faith Healing!"-NgMiujiza Ya Uponyaji kwa Imani!. -Kila Mtu Anazo!
Ndoto za kupaa na kuelea hewani zinaashiria nini?
Kuna siri gani kwenye ulimwengu wa kiroho ukilala chali?
Mambo mengi ninayo yawaza au kuyaota huwa yanatokea kweli tangu Nina mika 12 na sasa Nina mika 18.
Ndoto za kupaa na kuelea hewani zinaashiria nini?
Paskali
Mkuu Mzushi, you have the powers from within.Mkuu Mayala asante sana angalau kwa kujaribu kuweka mambo sawa najua kwa heshima yako labda hawa bin adam wanaweza angalau kuwa Na imani Na ninachokisema,Mimi bado nasisitiza ilikuwa ndoto .mkuu kuhusu Ndoto za kuelea angani hata Mimi nazipata sana kwa ufupi ni moja ya ndoto tamu sana zinapokutokea ila sijawahi kunga'mua nini maana yake wajuzi watakuja tu Na majibu tutayapata
ya Lema haikuwa ndoto, kamwe haiwezi timia.Kama hii imetimia na ya Lema itatimia
Wewe eidha ni hakimu uliyehusika au baba yako ndo hakimu.Wakuu nimeota ndoto kuwa kuna Mbunge atakula mvua wiki ijayo Na bahati mbaya imejirudia zaidi ya Mara 3 na kila nikilazimisha ndoto isikate ili ning'amue ni nani usingizi unakata ,tuombeane uzima kukuche salama labda kitendawili kitateguka.
Leo niotee ndoto ya Lema kupigwa mvua ishiriniWakuu nimeota ndoto kuwa kuna Mbunge atakula mvua wiki ijayo Na bahati mbaya imejirudia zaidi ya Mara 3 na kila nikilazimisha ndoto isikate ili ning'amue ni nani usingizi unakata ,tuombeane uzima kukuche salama labda kitendawili kitateguka.
Ota mamaako!Leo niotee ndoto ya Lema kupigwa mvua ishirini
Utemi wa kijinga na usela mavi vimemzamisha Juakali
Kama hii imetimia na ya Lema itatimia
😂😂😂ya Lema haikuwa ndoto, kamwe haiwezi timia.