Nimeota ndoto kuna Mbunge atakula mvua wiki ijayo

Nimeota ndoto kuna Mbunge atakula mvua wiki ijayo

Wakuu nimeota ndoto kuwa kuna Mbunge atakula mvua wiki ijayo Na bahati mbaya imejirudia zaidi ya Mara 3 na kila nikilazimisha ndoto isikate ili ning'amue ni nani usingizi unakata ,tuombeane uzima kukuche salama labda kitendawili kitateguka.
Hakuna cha ndoto wala nini wewe ni miongoni mwa wapanga mipango ya kudhurumu haki za wapinzani na ulijua mpango huu mapema kabla ya hukumu maana mliupanga na kuujadili.
 
mara zote mvua husimama kama baraka-basi ndoto yako bado haijafikia wakati wake
 
Mzee upo,TISS nini? Maana info hiyo ni ya ndani sana na ni kweli imetokea
Sio lazima kuwa TISS kujua hilo, kwanza sio lazima tiss wawe na hiyo info. Wazee wa baraza, hakimu, mawakili wa Pande zote hujua uelekeo wa kesi. Vile vile ndugu na marafiki ya niliowataja huwa na taarifa kwa kuambiwa na hao niliowataja.
 
Mimi sioti ila nabashiri pale kaskazi mtu atanyeshewa.
 
Mhh, hizi ndoto na hatimaye zinakuwa kweli zinaleta shida sana kwa baadhi ya watu. Jamani tupunguze kuota!!!!??
 
Wakuu nimeota ndoto kuwa kuna Mbunge atakula mvua wiki ijayo Na bahati mbaya imejirudia zaidi ya Mara 3 na kila nikilazimisha ndoto isikate ili ning'amue ni nani usingizi unakata ,tuombeane uzima kukuche salama labda kitendawili kitateguka.
Hukumu za kupanga hizi, mbona hujawahi kuleta ndoto zingine hapa?
 
Wakuu nimeota ndoto kuwa kuna Mbunge atakula mvua wiki ijayo Na bahati mbaya imejirudia zaidi ya Mara 3 na kila nikilazimisha ndoto isikate ili ning'amue ni nani usingizi unakata ,tuombeane uzima kukuche salama labda kitendawili kitateguka.

Usitake kutufanya Watanzania wote Wajinga na Wapumbavu. Hakuna cha ndoto wala nini. Hapa ni au wewe upo Jikoni au umepakuliwa ikiwa jikoni ya Moto Moto. Ulitakiwa uwe wa Kwanza kuisaidia Polisi na Ndoto yako kutimia.
 
Toka Tanzania ipate Uhuru sijawahi kusikia mbunge kafungwa
Ila hii imevunja record na hii inanipa mashaka sana na mahakama za Tanzania kwamba zinatumika kisiasa.
Una uhakika na unacho kinena?
 
Back
Top Bottom