Nimeota ndoto na kuona roho wa paka kwenye kiti cha enzi cha papa Francis wa kanisa la Roma

Zinazungumzwa habari za joka, dubu, chui na simba we unaleta habari za paka! Wapi biblia imemtaja paka kwenye habari za mwanamke kahaba? Bora hata ungeleta habari za mpanda farasi mwenye kikombe cha mvinyo
Hayo yalikuwa ni maono ya nabii Daniel na nabii YOHANA siyo maono niliyoyaona Mimi

Mimi maono yangu nimeona paka mtumish
 
Usife MOYO mtumish

Hata nabii YONA alitumwa linawi kwa watu waliopinda kuliko hawa
 
Baada ya kuona roho ya Paka vipi umaskini wako umeisha? Watoto wako wameenda Shule? Umejenga nyumba? Je mbinguni utaenda?
 
Huwe

Huwez elewa hayo ni Mambo ya kiroho
Acha ujinga na kukaririshwa mambo ya kina mwamposa! Mambo ya kiroho yapo katika kuishi na kushika maisha ya kweli ya kikristu, sio ndoto na miujuza ya ajabu ajabu, kuungama, kupokea ekaristi, kutembelea wagonjwa nk. Hayo mambo ya ndoto za paka na miujiza ya danganya toto ni mambo ya kishirikina
 
Ni ndoto au maono, Kama ni maono lazima umuulize aliyekuonyesha nini maana yake, sio kuona na kuhadithia, lazima uulize, umenionyesha ili nifanye nini.
 
Kwahiyo papa anaishi maisha ya kikristo
 
kwenye kiti chake palikuwa na ROHO wa paka ambaye alikuwa amekaa juu Papa Francis

Paka huyo alionekana kufanya utawala mkubwa katika kiti hicho na kuchukua nafasi kubwa kuliko hata papa mwenyewe, nilishangaa sana
Roho ni kitu kisichoonekana, hakina umbo wala sura. Wewe unaposema uliona roho wa paka, we ulijuaje kwamba huyo ni roho wa paka ilhali roho haina umbo?

Mara tena unasema paka huyo alionekana.. we uliona roho wa paka au uliona paka?
 
Kumbe ulikuwa umefunga hyo kawaida sana kuona hata roho wa paka mana sijawahi kusikia roho wa paka. Ila mkuu ungekula kwanza mtumishi. Njaa ni mbaya sana ujue.
Iko siku utaona wahuni wanakata malinda mtu anayefanana na wewehvi hvi
 
Kumbe ulikuwa umefunga hyo kawaida sana kuona hata roho wa paka mana sijawahi kusikia roho wa paka. Ila mkuu ungekula kwanza mtumishi. Njaa ni mbaya sana ujue.
Iko siku utaona wahuni wanakata malinda mtu anayefanana na wewehvi hvi
Duh sawa mkuu

Ubalikiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…