Nimeota ndoto na kuona roho wa paka kwenye kiti cha enzi cha papa Francis wa kanisa la Roma

Apo unaonyeshwa kuwa ukristo ni unaongozwa na roho za kishetani paka ni miongoni mwa wanyama wanaotumia na nguvu za giza. Karibu katika uislam
 
Unaanza taratibu mwisho wa siku unasimama kariakoo na spika yako unaanza kukusanya hela kwa watu ambao walikuwa hawapo ulipo hubiri baadae tunakukuta kitambaa cheupe
 
Apo unaonyeshwa kuwa ukristo ni unaongozwa na roho za kishetani paka ni miongoni mwa wanyama wanaotumia na nguvu za giza. Karibu katika uislam
Shetani mwenyewe alisilim sasa hapo ndo nitakuwa nimekwepa kitu gan
 
Mwenzako alipiga stori na yesu hadi akapewa namba za simu ila alipoombwa awape waumini akadai amezisau ila wewe tunakuaminia, tupe japo picha moja tu.
Hadi Yesu Alikubali Mifumo Ya Mteule Wake Akasema ""Ewaaa"
 
Usitumie neno paka sema nyau
 
Wakikuwahisha hospital bado una nafasi ya kupona.
 
Ndoto yako ilimaanisha huyu mzee alikuwa anatawaliwa na nguvu ya Ibilisi chini ya majesuits ,hiyo rangi nyeusi ni rangi ya sare za majesuits na mkuu wao huyo ,na huyo ndio agent WA Ibilisi ndani ya kanisa .
Paka mweusi kwenye kichwa cha Pope Francis ndio huyo black pope au mkuu wa Jesuits
 
Tembea na baba gugu labda unaweza kutoka na kitu hapo



 
Beira Baby Boy
LONDON boy ! chalii ulikuja humu jukwaani wa moto sana,,, kwa siku thread Mia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…