Nimeota, Simba anashinda huku Yanga akifungwa kwenye mechi za leo

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Ndio nimeshtuka hapa, Simba wanashangilia huku mashabiki wa Yanga wakiwa wamenuna baada ya Kagera Sugar kufanya yao.

Nilitamani hii ndoto iendelee ila ndo nimeshtuka sasa hivi! Wataalam wa ndoto ndoto yangu inaweza kutimia?
 
Ndio nimeshtuka hapa, Simba wanashangilia huku mashabiki wa Yanga wakiwa wamenuna baada ya Kagera Sugar kufanya yao.

Nilitamani hii ndoto iendelee ila ndo nimeshtuka sasa hivi! Wataalam wa ndoto ndoto yangu inaweza kutimia?
Mkuu si unajua mara nyingi ndoto hazina tafsiri ya moja kwa moja? Utakuta inakua kinyume chake!

Mimi ni Lunyasi hasa lakini nimepata hofu kwa ndoto yako hiyo
 
Ndio nimeshtuka hapa, Simba wanashangilia huku mashabiki wa Yanga wakiwa wamenuna baada ya Kagera Sugar kufanya yao.

Nilitamani hii ndoto iendelee ila ndo nimeshtuka sasa hivi! Wataalam wa ndoto ndoto yangu inaweza kutimia?
Basi amka ukakojoe usije ukajikojolea kitandani
 
Ndio nimeshtuka hapa, Simba wanashangilia huku mashabiki wa Yanga wakiwa wamenuna baada ya Kagera Sugar kufanya yao.

Nilitamani hii ndoto iendelee ila ndo nimeshtuka sasa hivi! Wataalam wa ndoto ndoto yangu inaweza kutimia?
Kalale umalizie ndoto.
 
Yanga kufungwa sio ajabu kwetu ila sio kwa timu lile la akina Dokta Aucho na Injinia Bangala na Mhashamu Sheikh Ntibazonkiza
 
Ndio nimeshtuka hapa, Simba wanashangilia huku mashabiki wa Yanga wakiwa wamenuna baada ya Kagera Sugar kufanya yao.

Nilitamani hii ndoto iendelee ila ndo nimeshtuka sasa hivi! Wataalam wa ndoto ndoto yangu inaweza kutimia?

Haya ndiyo madhara ya kushiba sana mchana, halafu ukapitiwa na kausingizi 😓 fulani hivi! Ndoto utakazo ota huwa ni za kipuuzi puuzi tu.

Siku nyingine utashangaa unaota unakata gogo na panga lako mkononi.
 
C umeota mkuu nazan n k vant au nyagi uliyokunywa ndio imekupa hayo maffiling ya hcho ulichokisemaaa
 
Ndio nimeshtuka hapa, Simba wanashangilia huku mashabiki wa Yanga wakiwa wamenuna baada ya Kagera Sugar kufanya yao.

Nilitamani hii ndoto iendelee ila ndo nimeshtuka sasa hivi! Wataalam wa ndoto ndoto yangu inaweza kutimia?
Endelea kuota Ila chunga usikojoe kitandani.
 
Kama umemaliza kuota amka Sasa usije hkajikojolea usingizini
 
Kufungwa Yanga Leo sahau.. Ila wewe Kufungwa huko Morocco tena zaidi ya goli 3 ni kawaida sana, huwezi kuchomoke kule kudadadeq hata kwa kuloga huwezi kupata hata draw manina nyie KoLokolo🤣🤣
 
Ukishiba sana mchana jitahidi utembee tembee kidogo,ili kuweka mwili sawa,vinginevyo utakuwa unaishia kulala na kuota umekalia bomba ya baiskeli ukistuka utakuta wajuba washakusafisha huo mtaro
 
Kinyume Chache Ndio Sahihi.

Wachezaji Wa Simba Wamebanwa Na Mshipa Wa Ngiri Kisa Baridi Na Ubovu Wao Unategemea Nini Kama Si Hamsa Basi Ni Zaidi Ya Hamsa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…