technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Sijui kama ni kweli lakini Uhuru kashindwa vibaya uchaguzi wa tarehe 8 ndio nimeota hivyo.
Uhuru ukiunganisha na kauli zake na matukio ndani ya Kenya ni wazi kuwa ndoto yangu ni kweli.
Tusuburi muda utakuwa msema kweli ingawa Mimi binafsi ningependa Uhuru ashinde uchaguzi huu ni mhimu sana .
Ungekuwa unapambana na hali yako usingekuwa nyuma ya kibodi pia kuchangia ...
Hahaaaaaa rudiii ulale uitetenaSijui kama ni kweli lakini Uhuru kashindwa vibaya uchaguzi wa tarehe 8 ndio nimeota hivyo.
Uhuru ukiunganisha na kauli zake na matukio ndani ya Kenya ni wazi kuwa ndoto yangu ni kweli.
Tusuburi muda utakuwa msema kweli ingawa Mimi binafsi ningependa Uhuru ashinde uchaguzi huu ni mhimu sana .
Kila la heri, naheshimu maamuzi yenu Wakenya, ni maombi yangu mmalize salama na mbaki wamoja after election..Uhuru akishinda kutakuwa na uhusiano mbaya sana Tz. Binafsi ninamkubali lkn maamuzi yenu ni bora kuliko utashi wangu.. tusubiri muda ndio utaamua...ila jamaa atakuwa na ushindani mkali wakati huu...yaani this time it is 50/50...ila yeyote akishinda ni sawa tu...mi nataka kwanza watoe KDF Somalia..nilikuwa na support Kenyatta ila baada ya kusikia kuwa NASA watawatoa KDF Somalia wakishinda, naenda na NASA....KDF wanafaa waje walinde border ya Kenya na Somalia badala ya kuuwawa kule kama siafu....
[emoji116] [emoji116] [emoji116]uhuru namkubali kuliko huyo Odinga. Sidhani na sitegemei kama Odinga tashinda.
Kila la heri, naheshimu maamuzi yenu Wakenya, ni maombi yangu mmalize salama na mbaki wamoja after election..Uhuru akishinda kutakuwa na uhusiano mbaya sana Tz. Binafsi ninamkubali lkn maamuzi yenu ni bora kuliko utashi wangu
Sijui kama ni kweli lakini Uhuru kashindwa vibaya uchaguzi wa tarehe 8 ndio nimeota hivyo.
Odinga akishinda ntajitoa Jf
Uhuru ukiunganisha na kauli zake na matukio ndani ya Kenya ni wazi kuwa ndoto yangu ni kweli.
Tusuburi muda utakuwa msema kweli ingawa Mimi binafsi ningependa Uhuru ashinde uchaguzi huu ni mhimu sana .
Uhuru lazima atatangazwa mshindi hata kama kura nyingi zitaenda kwa Raila.Wakikuyu ni mafia na mafyonzo hawatakubali mluo awe rais,vinginevyo watakinukisha.Sijui kama ni kweli lakini Uhuru kashindwa vibaya uchaguzi wa tarehe 8 ndio nimeota hivyo.
Uhuru ukiunganisha na kauli zake na matukio ndani ya Kenya ni wazi kuwa ndoto yangu ni kweli.
Tusuburi muda utakuwa msema kweli ingawa Mimi binafsi ningependa Uhuru ashinde uchaguzi huu ni mhimu sana .
You are right.Uhuru lazima atatangazwa mshindi hata kama kura nyingi zitaenda kwa Raila.Wakikuyu ni mafia na mafyonzo hawatakubali mluo awe rais,vinginevyo watakinukisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Rwanda hakuna uchaguzi ni zuga tu