Nimeota Uhuru kaanguka vibaya

Nimeota Uhuru kaanguka vibaya

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Sijui kama ni kweli lakini Uhuru kashindwa vibaya uchaguzi wa tarehe 8 ndio nimeota hivyo.

Uhuru ukiunganisha na kauli zake na matukio ndani ya Kenya ni wazi kuwa ndoto yangu ni kweli.

Tusuburi muda utakuwa msema kweli ingawa Mimi binafsi ningependa Uhuru ashinde uchaguzi huu ni mhimu sana .
 
.. tusubiri muda ndio utaamua...ila jamaa atakuwa na ushindani mkali wakati huu...yaani this time it is 50/50...ila yeyote akishinda ni sawa tu...mi nataka kwanza watoe KDF Somalia..nilikuwa na support Kenyatta ila baada ya kusikia kuwa NASA watawatoa KDF Somalia wakishinda, naenda na NASA....KDF wanafaa waje walinde border ya Kenya na Somalia badala ya kuuwawa kule kama siafu....
 
Sijui kama ni kweli lakini Uhuru kashindwa vibaya uchaguzi wa tarehe 8 ndio nimeota hivyo.

Uhuru ukiunganisha na kauli zake na matukio ndani ya Kenya ni wazi kuwa ndoto yangu ni kweli.

Tusuburi muda utakuwa msema kweli ingawa Mimi binafsi ningependa Uhuru ashinde uchaguzi huu ni mhimu sana .

Bado hamjiamini tu hata baada ya Musando kuwa haiko kwa keyboard?!
 
Sijui kama ni kweli lakini Uhuru kashindwa vibaya uchaguzi wa tarehe 8 ndio nimeota hivyo.

Uhuru ukiunganisha na kauli zake na matukio ndani ya Kenya ni wazi kuwa ndoto yangu ni kweli.

Tusuburi muda utakuwa msema kweli ingawa Mimi binafsi ningependa Uhuru ashinde uchaguzi huu ni mhimu sana .
Hahaaaaaa rudiii ulale uitetena
 
Kura za wakikuyu plus wasomali zote zake

Ndugu kweli upo ndotoni tena hakuna uchaguzi mraisi kama wa Kenya kila kitu kinajulikana
 
.. tusubiri muda ndio utaamua...ila jamaa atakuwa na ushindani mkali wakati huu...yaani this time it is 50/50...ila yeyote akishinda ni sawa tu...mi nataka kwanza watoe KDF Somalia..nilikuwa na support Kenyatta ila baada ya kusikia kuwa NASA watawatoa KDF Somalia wakishinda, naenda na NASA....KDF wanafaa waje walinde border ya Kenya na Somalia badala ya kuuwawa kule kama siafu....
Kila la heri, naheshimu maamuzi yenu Wakenya, ni maombi yangu mmalize salama na mbaki wamoja after election..Uhuru akishinda kutakuwa na uhusiano mbaya sana Tz. Binafsi ninamkubali lkn maamuzi yenu ni bora kuliko utashi wangu
 
uhuru namkubali kuliko huyo Odinga. Sidhani na sitegemei kama Odinga tashinda.
[emoji116] [emoji116] [emoji116]
Kila la heri, naheshimu maamuzi yenu Wakenya, ni maombi yangu mmalize salama na mbaki wamoja after election..Uhuru akishinda kutakuwa na uhusiano mbaya sana Tz. Binafsi ninamkubali lkn maamuzi yenu ni bora kuliko utashi wangu
 
Sijui kama ni kweli lakini Uhuru kashindwa vibaya uchaguzi wa tarehe 8 ndio nimeota hivyo.
Odinga akishinda ntajitoa Jf
Uhuru ukiunganisha na kauli zake na matukio ndani ya Kenya ni wazi kuwa ndoto yangu ni kweli.

Tusuburi muda utakuwa msema kweli ingawa Mimi binafsi ningependa Uhuru ashinde uchaguzi huu ni mhimu sana .
 
Sijui kama ni kweli lakini Uhuru kashindwa vibaya uchaguzi wa tarehe 8 ndio nimeota hivyo.

Uhuru ukiunganisha na kauli zake na matukio ndani ya Kenya ni wazi kuwa ndoto yangu ni kweli.

Tusuburi muda utakuwa msema kweli ingawa Mimi binafsi ningependa Uhuru ashinde uchaguzi huu ni mhimu sana .
Uhuru lazima atatangazwa mshindi hata kama kura nyingi zitaenda kwa Raila.Wakikuyu ni mafia na mafyonzo hawatakubali mluo awe rais,vinginevyo watakinukisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
27d7fde925cf61c202f300d5407c2418.jpg

Huku kagame anashinda asubuhi tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom