Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeota Yanga kachapwa goli 2 kavu na mwarabu. Natetemeka muda huu
Nimeota mashabiki wa Yanga wakitoka nje ya uwanja kwa ghadhabu kubwa. Huku Aziz Ki na Dube wakirushiwa kila aina ya lawama.
Ndoto zangu haziongopi.
1Nimejimwagia mpaka maji baridi lkn bado ndoto inajirudia. Hakika Yanga itafungwa.Na iwe hivyo
Msilete dhihaka, bado masaa machache mashabiki wa Yanga waanze kutupa mikono na kusema hovyoUsitetemeke tu malizia na nyeto kabisa ili ukae sawa
Faraja za lala salama.Nimeota mashabiki wa Yanga wakitoka nje ya uwanja kwa ghadhabu kubwa. Huku Aziz Ki na Dube wakirushiwa kila aina ya lawama.
Ndoto zangu haziongopi. Kama kuna yeyote anataka kubet, aweke mzigo, soon atanishukuru.
Badala ya kutafuta chakula ule, unajimwagia maji ya baridi. Mpaka kuche parefu sana. Ndoto za ajabuajabu zitakuandama sana.1Nimejimwagia mpaka maji baridi lkn bado ndoto inajirudia. Hakika Yanga itafungwa.
Kipre JrNimeota mashabiki wa Yanga wakitoka nje ya uwanja kwa ghadhabu kubwa. Huku Aziz Ki na Dube wakirushiwa kila aina ya lawama.
Ndoto zangu haziongopi. Kama kuna yeyote anataka kubet, aweke mzigo, soon atanishukuru.
Na siku ukiota umepata mimba na kuzalishwa watoto mapacha, pia uje utuambie. Na uzuri ndoto zako hazidanganyi! kwa hiyo hakuna sababu ya kutuficha.Nimeota mashabiki wa Yanga wakitoka nje ya uwanja kwa ghadhabu kubwa. Huku Aziz Ki na Dube wakirushiwa kila aina ya lawama.
Ndoto zangu haziongopi. Kama kuna yeyote anataka kubet, aweke mzigo, soon atanishukuru.
Wapigwe tu1Nimejimwagia mpaka maji baridi lkn bado ndoto inajirudia. Hakika Yanga itafungwa.
Utopolo hawana uwezo huo.Na achapwe tu...
Hivi utopolo wana rekodi yeyeto ya kumfunga mwarabu?