Nimeota Yanga kachapwa goli 2 kavu na mwarabu. Natetemeka muda huu

Nimeota Yanga kachapwa goli 2 kavu na mwarabu. Natetemeka muda huu

Amka haraka kabla hujajikojolea mkuu.
3D22EBDF-AED3-47C3-A7A7-8C8B4C8F9DE6.jpeg
 
Unaotaje saa nne hii. Tafuta pesa usipate usingizi wa kukimbia njaa ili mradi pakuche haraka


Nimeota Yanga kachapwa goli 2 kavu na mwarabu. Natetemeka muda huu


Nimeota mashabiki wa Yanga wakitoka nje ya uwanja kwa ghadhabu kubwa. Huku Aziz Ki na Dube wakirushiwa kila aina ya lawama.

Ndoto zangu haziongopi.
 
Usitetemeke tu malizia na nyeto kabisa ili ukae sawa
Msilete dhihaka, bado masaa machache mashabiki wa Yanga waanze kutupa mikono na kusema hovyo
 
Nimeota mashabiki wa Yanga wakitoka nje ya uwanja kwa ghadhabu kubwa. Huku Aziz Ki na Dube wakirushiwa kila aina ya lawama.

Ndoto zangu haziongopi. Kama kuna yeyote anataka kubet, aweke mzigo, soon atanishukuru.
Faraja za lala salama.
 
Nimeota mashabiki wa Yanga wakitoka nje ya uwanja kwa ghadhabu kubwa. Huku Aziz Ki na Dube wakirushiwa kila aina ya lawama.

Ndoto zangu haziongopi. Kama kuna yeyote anataka kubet, aweke mzigo, soon atanishukuru.
Kipre Jr
 
Na achapwe tu...
Hivi utopolo wana rekodi yeyeto ya kumfunga mwarabu?
 
  • Kicheko
Reactions: G4N
Nimeota mashabiki wa Yanga wakitoka nje ya uwanja kwa ghadhabu kubwa. Huku Aziz Ki na Dube wakirushiwa kila aina ya lawama.

Ndoto zangu haziongopi. Kama kuna yeyote anataka kubet, aweke mzigo, soon atanishukuru.
Na siku ukiota umepata mimba na kuzalishwa watoto mapacha, pia uje utuambie. Na uzuri ndoto zako hazidanganyi! kwa hiyo hakuna sababu ya kutuficha.
 
Back
Top Bottom