Nimepanda basi toka Dar kwenda Mwanza kukiwasha japo kwa shingo upande

Nimepanda basi toka Dar kwenda Mwanza kukiwasha japo kwa shingo upande

Ufanikiwe kumsifia mtekaji?!
Alikuteka wewe?

Au kuna mtu ulimuona akimteka?

Fuatilia habari ya bomba la mafuta ya Uganda linavyopigwa vita na mabeberu, ilhali ubeberuni mabomba mapya ya mafuta yanajengwa. Ila huku Afrika ndo likijengwa bomba la mafuta inaonekana ni uchafuzi wa mazingira. Sasa anasimama mtu kisa tu yeye ameshajiita ni mpinzani anapayukapayuka kukosoa au kudhihika au kukanusha kuwa hakuna vita ya uchumi duniani. Binafsi ningekuwa Rais wapumbavu kama hao wanaopayukapayuka kuyumbisha tu wananchi na kuwapindikizia chuki zisizo na msingi kuhusu serikali yao ningewanyamazisha kwa kweli.

Mmepewa uhuru wa kuongea, kautumieni vizuri. Kamsifieni Magufuli ili nchi irudi katika mstari. Mstari wa ukali, na mstari wa watumishi wa umma na viongozi wa kisiasa kubanwa waache ujinga ujinga, wizi na uzembe. Maana tunakoelekea sasa hivi hapaeleweki.
 
Naelekea Mwanza kwenda kukiwasha.

CCM ni janga la taifa. Limezidi kuwakandamiza watanzania kwa kuendeleza umasikini. Tozo haramu, ufisadi na ubwanyenye.

Nitakiwasha jukwaani uwanja wa furahisha mpaka kieleweke.

mkaongee mambo yenye tija kwa watanzania, mambo ambayo yatakuwa na faida kwa watanzania wote

sio mnaenda kulilia katiba mpya na tume ya uchaguzi ili tu mpate madaraka
 
Alikuteka wewe?

Au kuna mtu ulimuona akimteka?

Fuatilia habari ya bomba la mafuta ya Uganda linavyopigwa vita na mabeberu, ilhali ubeberuni mabomba mapya ya mafuta yanajengwa. Ila huku Afrika ndo likijengwa bomba la mafuta inaonekana ni uchafuzi wa mazingira. Sasa anasimama mtu kisa tu yeye ameshajiita ni mpinzani anapayukapayuka kukosoa au kudhihika au kukanusha kuwa hakuna vita ya uchumi duniani. Binafsi ningekuwa Rais wapumbavu kama hao wanaopayukapayuka kuyumbisha tu wananchi na kuwapindikizia chuki zisizo na msingi kuhusu serikali yao ningewanyamazisha kwa kweli.

Mmepewa uhuru wa kuongea, kautumieni vizuri. Kamsifieni Magufuli ili nchi irudi katika mstari. Mstari wa ukali, na mstari wa watumishi wa umma na viongozi wa kisiasa kubanwa waache ujinga ujinga, wizi na uzembe. Maana tunakoelekea sasa hivi hapaeleweki.

Kamsifie Magufuli ww, au hutaki nchi irudi kwenye mstari? Kuna wale wabunge alinajisi uchaguzi waambie wahoji huo uzembe. Serekali ya majizi ya kura inapaswa kupingwa na kila mwenye nia njema na nchi hii.

Hilo bomba la mafuta ww na ndugu zako kwani mmetoa hata shilingi hadi useme bomba linapigwa vita?
 
Kumbe hujui mambo yanayoendelea, na masuala ya vita za uchumi kwa ujumla.

Narudia tena, huo mradi wa bomba la mafuta, pesa ni za Uganda au Tanzania? Pesa ni za mzungu, sasa unashangaa nini wakiamua kuinvest kwa kasi yao?
 
Naelekea Mwanza kwenda kukiwasha.

CCM ni janga la taifa. Limezidi kuwakandamiza watanzania kwa kuendeleza umasikini. Tozo haramu, ufisadi na ubwanyenye.

Nitakiwasha jukwaani uwanja wa furahisha mpaka kieleweke.
Hivi ndio Hela za Chadema zinavyoliwa, ruzuku inatumika kugharamia majitu ambayo hayafanyi kazi, yanashinda ufipa kusubiri dili
 
Narudia tena, huo mradi wa bomba la mafuta, pesa ni za Uganda au Tanzania? Pesa ni za mzungu, sasa unashangaa nini wakiamua kuinvest kwa kasi yao?
Jielimishe japo kidogo. Ukiwa kama mtu unayepanda jukwaani na kuongea na umma inatakiwa uwe unafahamu mambo mengi kwa ukweli wake, na sio kwa tetesi na porojo na kudhanidhani.

(1) Pitia hapa uone Tanzania tuna hisa asilimia ngapi EACOP => Our Shareholders – EACOP –

(2) Na pitia hapa ujifunze kuhusu vita za uchumi, usije ukadhani Magufuli alikuwa anaongea propaganda tu. => https://www.jamiiforums.com/threads/eacop-vs-lamu-pipeline.1858891/
 
Jielimishe japo kidogo. Ukiwa kama mtu unayepanda jukwaani na kuongea na umma inatakiwa uwe unafahamu mambo mengi kwa ukweli wake, na sio kwa tetesi na porojo na kudhanidhani.

(1) Pitia hapa uone Tanzania tuna hisa asilimia ngapi EACOP => Our Shareholders – EACOP –

(2) Na pitia hapa ujifunze kuhusu vita za uchumi, usije ukadhani Magufuli alikuwa anaongea propaganda tu. => https://www.jamiiforums.com/threads/eacop-vs-lamu-pipeline.1858891/

Una hisa kwani mradi umeanza uzalishaji? Tanzania iliweka shilingi ngapi kwenye hilo bomba la mafuta? Nisaidie hapo kwanza ili nijue unaongea nini.
 
Naelekea Mwanza kwenda kukiwasha.

CCM ni janga la taifa. Limezidi kuwakandamiza watanzania kwa kuendeleza umasikini. Tozo haramu, ufisadi na ubwanyenye.

Nitakiwasha jukwaani uwanja wa furahisha mpaka kieleweke.
Shindwa Pepopunda!! Hatukutaki huku, ole wako utie mguu utajua ujui!!!
 
NImekupa matirio hayo yasome.

Hizo porojo ndio unataka nipoteze muda kusoma. Tuliambiwa kwa hamasa ile 2017 kuwa mradi wa bomba utakamilika November 2020, maana pesa ipo. Hadi leo wala ujenzi haujaanza, sasa unataka nipoteze muda wakati ukweli unakataa. Soma ww maana ndio una muda wa kupoteza.
 
Back
Top Bottom