Nimepanda basi toka Dar kwenda Mwanza kukiwasha japo kwa shingo upande

Nimepanda basi toka Dar kwenda Mwanza kukiwasha japo kwa shingo upande

Naelekea Mwanza kwenda kukiwasha.

CCM ni janga la taifa. Limezidi kuwakandamiza watanzania kwa kuendeleza umasikini. Tozo haramu, ufisadi na ubwanyenye.

Nitakiwasha jukwaani uwanja wa furahisha mpaka kieleweke.
Angalia hizo hirizi ulizopewa na hayo m*#om ya mkono uliopewa Lumumba ili mje mvuruge mkutano wa Mwanza angalia tutakutafuna tumejipanga shauri yako

Hamkawii kubebeshwa ya mkono maana MAMBUZI akili zenu mnazijua wenyewe msije kutuharibia mkutano wetu kama mlivyofanya Arusha wakati ule
 
Sasa hivi uko wapi mkuu, mi nipo iringa hapa. Nipitie ila mi naishia shinyanga.

Nina story nyingi sana za kuikandia ccm, hutojuta kunipa lift
Naambatanisha na clip yangu nikiikandia ccm....
 
Naelekea Mwanza kwenda kukiwasha.

CCM ni janga la taifa. Limezidi kuwakandamiza watanzania kwa kuendeleza umasikini. Tozo haramu, ufisadi na ubwanyenye.

Nitakiwasha jukwaani uwanja wa furahisha mpaka kieleweke.

Mmawia nae usimsahau.
Maana nae alikuwa na hamu kweli na majukwaa.
 
Nimeshangaa kuona nanyie eti mnazungumzia ufisadiii. Yaaani tumesubiri mje mtaje neno ufisadiii ili tuwafikunyulie ukanjanja wenuu

Kwani ni lini nyie mliwahi kuzungumzia ufisadi, maana kama ni wakati wa Magufuli alikuwa hapambani na ufisadi bali matumizi ya neno fisadi. Alipambana na ufisadi ila akawa hataki uwazi! Tunakisubiri uje ufukunyue ili ujue uliingia kwenye kipindi cha giza kwa siasa za kiki.
 
Naelekea Mwanza kwenda kukiwasha.

CCM ni janga la taifa. Limezidi kuwakandamiza watanzania kwa kuendeleza umasikini. Tozo haramu, ufisadi na ubwanyenye.

Nitakiwasha jukwaani uwanja wa furahisha mpaka kieleweke.
Sawa ni Hali yako
 
Kwani ni lini nyie mliwahi kuzungumzia ufisadi, maana kama ni wakati wa Magufuli alikuwa hapambani na ufisadi bali matumizi ya neno fisadi. Alipambana na ufisadi ila akawa hataki uwazi! Tunakisubiri uje ufukunyue ili ujue uliingia kwenye kipindi cha giza kwa siasa za kiki.
Sisi hapana, ndio maaana tumesubiri mbwabwaje neno ufisadi na sisi tuwafunyulie kanjanja zetuuu. Yaani tuko nanyi kabisaaa.
 
Back
Top Bottom