Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Huyo jamaa hana hata aibuUkweli ulikwiba tukakutimua uende kwa majizi wenzako wa chama Cha Mambuzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo jamaa hana hata aibuUkweli ulikwiba tukakutimua uende kwa majizi wenzako wa chama Cha Mambuzi
Binafsi nilishiriki siku ambayo tulikutimuaHuwezijua ukweli.
Bakia huko huko kwa wakora wenzakoHuwezijua ukweli.
We ni mpumbavuBakia huko huko kwa wakora wenzako
Kiveli!!!!! ni kitu gani?Hivi mkuu huwa hutumii kiveli au bange...!?
Sisi hapana, ndio maaana tumesubiri mbwabwaje neno ufisadi na sisi tuwafunyulie kanjanja zetuuu. Yaani tuko nanyi kabisaaa.
Makamanda wapuuzi kama wewe ndio mnasababisha tunafeliHamna lolote zaidi ya kupiga siasa mfu.
Makamanda wapuuzi kama wewe ndio mnasababisha tunafeli
Naomba uwe na heshima we kengeAcha kujipendekeza kwenye chama cha wanaume. Baki huko huko kwenye chama chako cha majizi ya kura.
Kibaka wa CCM weweNaomba uwe na heshima we kenge
Huwezi kuendelea kujifanya cdm wakati wewe ni ccm ili baadae ufanye matukio ya kukifedhesha chama.Naomba uwe na heshima we kenge
Tuliachana na hizo ajenda baada ya kumkaribisha lowassa kwenye chama. Sasa hivi tuna ajenda ya katiba na umwisenge peke yake. Tunaangalia maslahi ya chama zaidi kuliko wananchi; wananchi nao wapambane na hali zao.Kwani na nyiee kwenye chama chenu siku izi mnakemea ufisadiii??
[emoji108] kumbe muanzisha uzi mpunga na yeye ana mume !!!Kwenye hiyo safari yako uko pekee yako au na mumeo?
Yeye mlimwambia hatubu dhambi ya kutaka kumuua Lisu?Tubuni kwanza dhambi ya kushangilia kifo cha Magufuli
Umeficha jina umeficha mpaka akili vijana wa Lumumba mna shida sana tena shida ya akili
CHADEMA wanaongoza serikali?.CHADEMA wenyewe wameshindwa kutoa umaskini sembuse umaskini wa nchi? We nenda kapunguze stress kwa kudanganywa.