Nimepanda basi toka Dar kwenda Mwanza kukiwasha japo kwa shingo upande

Nimepanda basi toka Dar kwenda Mwanza kukiwasha japo kwa shingo upande

Nimekushangaa kwanini unaenda mahali kwa shingo upande, kama unaona wana mambo mengi usiyokubaliana nao, kwanini usiwaache uende sehemu nyingine itakayokufaa?

Au tuseme ndio una mahaba kupindukia?!!
Wambeya hao lini Kawa mwana Chadema POPOMA LA lumumba hilo
 
Tuliachana na hizo ajenda baada ya kumkaribisha lowassa kwenye chama. Sasa hivi tuna ajenda ya katiba na umwisenge peke yake. Tunaangalia maslahi ya chama zaidi kuliko wananchi; wananchi nao wapambane na hali zao.
Katiba Mpya ni takwa la chama chenu. Katiba ya wananchi itatafutwa na wananchi wenyewee wasio na mlengo wa chama chochote Cha kisiasa, ili katiba hiyo iweze KUSIMAMIA na kubalance Kwa vyama vyote.
 
Back
Top Bottom