Me I and my self
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 4,077
- 8,828
Na ufisadi kwenye miradi serikali yote unasema mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naelekea Mwanza kwenda kukiwasha.
CCM ni janga la taifa. Limezidi kuwakandamiza watanzania kwa kuendeleza umasikini. Tozo haramu, ufisadi na ubwanyenye.
Nitakiwasha jukwaani uwanja wa furahisha mpaka kieleweke.
Ukitaka ufanikiwe kamsifie Magufuli.
Kwani na nyiee kwenye chama chenu siku izi mnakemea ufisadiii??
CHADEMA wenyewe wameshindwa kutoa umaskini sembuse umaskini wa nchi? We nenda kapunguze stress kwa kudanganywa.
Wewe ni uvccm ndiyo mumetumwa kuja kuanzisha vurugu kwenye mikutano yetu,ole wenuNaelekea Mwanza kwenda kukiwasha.
CCM ni janga la taifa. Limezidi kuwakandamiza watanzania kwa kuendeleza umasikini. Tozo haramu, ufisadi na ubwanyenye.
Nitakiwasha jukwaani uwanja wa furahisha mpaka kieleweke.
Tunamshukuru Mungu kutuondolea yule dhalimTubuni kwanza dhambi ya kushangilia kifo cha Magufuli
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Ni kahawa tuHivi mkuu huwa hutumii kiveli au bange...!?
Jisemee nafsi yako, hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza tubu kisa alishangilia kifo cha Magufuli ila kila siku ni kukazia hukumu kwa Magufuli kama alivyokuwa anakazia hukumu kwa raia wasiokuwa na hatia, mfano. Kadhurumu hela za rambirambi za Wanakagera, kafunga wapinzani bila sababu yoyote ya msingi, kadhulumu uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 na uchaguzi mkuu 2020, kaweka wabunge 19 bungeni kwa amri yake akishirikiana na fisadi Ndugai, huyo mtu bora alikufa maana madhaifu ni mengi kuliko faida.Baadhi ya makamanda walifanya makosa.
Sasa mbona Bado mnabwabwajaaHapana, si mlisema Magufuli kamaliza ufisadi?
Sasa mbona Bado mnabwabwajaa
Ccm imekusomeshaNaelekea Mwanza kwenda kukiwasha.
CCM ni janga la taifa. Limezidi kuwakandamiza watanzania kwa kuendeleza umasikini. Tozo haramu, ufisadi na ubwanyenye.
Nitakiwasha jukwaani uwanja wa furahisha mpaka kieleweke.
Wewe mlamba asali kaa kimyaNimekushangaa kwanini unaenda mahali kwa shingo upande, kama unaona wana mambo mengi usiyokubaliana nao, kwanini usiwaache uende sehemu nyingine itakayokufaa?
Au tuseme ndio una mahaba kupindukia?!!
Wewe hujawahi kuwa kada wa CDM.Naelekea Mwanza kwenda kukiwasha.
CCM ni janga la taifa. Limezidi kuwakandamiza watanzania kwa kuendeleza umasikini. Tozo haramu, ufisadi na ubwanyenye.
Nitakiwasha jukwaani uwanja wa furahisha mpaka kieleweke.
Nani alishangilia kati ya ccm au chadema?Tubuni kwanza dhambi ya kushangilia kifo cha Magufuli
Kosa kubwa Sana Hilo na wasukuma walivyo wajinga watawashangiliaa tu bila kujuwa kuwa michadema ndio ilishangilia kifo Cha ndugu Yao magu mrundi aliyejichomeka kwa wasukuma kimafiaTubuni kwanza dhambi ya kushangilia kifo cha Magufuli
Mlamba asaliNimekushangaa kwanini unaenda mahali kwa shingo upande, kama unaona wana mambo mengi usiyokubaliana nao, kwanini usiwaache uende sehemu nyingine itakayokufaa?
Au tuseme ndio una mahaba kupindukia?!!