Nimepanga kumpa mke wangu nusu ya Mshahara

kwa namna ninavyomhendo kuchepuka kwake ni ngumu.
Dah....Tema mate chini kisha ondoa kauli yako.....kuna watu walisema hivyo hivyo na sasa hivi ni machizi kabisaaaa[emoji4]
 
Kunywa coke baridi apo ntalipa nzuri hyooo
 
Dah...siyo suala kujiamini wewe chief....ni suala la nafsi nyingine....tofauti ya muaminifu na asiye muaminifu ni kwamba mmoja ameishadakwa na mwingine ni mtarajiwa....[emoji4]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…