Nimepanga kwenda kuishi Msituni/Porini sana

Nimepanga kwenda kuishi Msituni/Porini sana

Hayo ndio maisha ya ukweli mzee, unaambiwa kiishia katika miji ambayo tayari imesha jenga na kuendelezwa basi unaishi katika mipangi ya wengine , lakini kwa style yako mzee ulimwengu ni wako a utafurahia uumbali wa mungu ki halisia kabisa
Asante Mkuu
 
Mkuu tupe hata picha basi, pia husisaha mbwa 3 na paka 3 kama wakuu walivyo kuelekeza

Jitahidi ujiconnect na hilo eneo lako lote, hata mtu akikanyaga kakijiti mzee umesikia

Hongera kwa bwawa mzee you can fish at mid night with no clothe on and no body will ask you why
 
Hizo ni stress za kukutana na uliopiga nao kitabu mjini wapo levo nyingine. Sasa hiyo kitaalamu inaitwa kujicoumoflage kwa kukaa na nyani ambao hawatakuuliza “Sasa hivi upo wapi” kila ukipishana nao
Mkuu maisha niliyochagua yananipa furaha, Watu wengi wanapendaga kwenda shamba uzeeni, Mimi nimechagua kutangulia mtanikuta shamba
 
Mkuu tupe hata picha basi, pia husisaha mbwa 3 na paka 3 kama wakuu walivyo kuelekeza

Jitahidi ujiconnect na hilo eneo lako lote, hata mtu akikanyaga kakijiti mzee umesikia

Hongera kwa bwawa mzee you can fish at mid night with no clothe on and no body will ask you why
Mkuu uko vzr sana
 
Una skills gani?
Hand to hand combat?
Unatumia siraha kama kisu au glock 19 9mm? [emoji848][emoji16]
Husikose ile gongo la baseball, upate lenyewe lile linakua gumu sana
Ukiwa nayo kama matatu mzee uweke sehemu tofauti ndani ya nyumba au visu pia visambaze sehemu tofauti, hivi ni visu vya matukio sio vya jikoni

Naongea hivi nikiwazia utakua na nyumba kubwa ulisema utajenga hapo baadae na nashauri kwa vile upo porini iwe na mbao mbao pia sio tofari mwanzo mwisho
Security cameras zihusike
Set perimeter pia mtu akiwa kwenye eneo flani ndanu ya eneo langu lazima ujue maybe 30-50 meter around your house
MUHIMU SANA
 
Una skills gani?
Hand to hand combat?
Unatumia siraha kama kisu au glock 19 9mm? [emoji848][emoji16]
Husikose ile gongo la baseball, upate lenyewe lile linakua gumu sana
Ukiwa nayo kama matatu mzee uweke sehemu tofauti ndani ya nyumba au visu pia visambaze sehemu tofauti, hivi ni visu vya matukio sio vya jikoni

Naongea hivi nikiwazia utakua na nyumba kubwa ulisema utajenga hapo baadae na nashauri kwa vile upo porini iwe na mbao mbao pia sio tofari mwanzo mwisho
Security cameras zihusike
Set perimeter pia mtu akiwa kwenye eneo flani ndanu ya eneo langu lazima ujue maybe 30-50 meter around your house
MUHIMU SANA
Ubarikiwe Mkuu kwa ushauri
 
Maisha hayo ukitaka uenjoy uwe na gari plus hela! Mahitaji kufata town chap tu! Weka na solar lako saafi kbs..usiache jiko la kuchomea nyama..wknd unachinja🐓 unamchoma na mkaa😋! Pembeni kinywaji....mbwa zinakuzunguka tu...bandani kuku zinawika tu....kushoto ngombe wanachunga!no stress at all!
 
Back
Top Bottom