Nimepanga kwenda kuishi Msituni/Porini sana

Nimepanga kwenda kuishi Msituni/Porini sana

Kila mtu katika maisha kuna kitu anapenda, kila mtu ana tafsiri yake ya maisha na jinsi ya kuyafurahia maisha. Toka nimerudi kutoka South Afrika Kama kuna kitu natamani kufanya kwenye maisha yangu hapa Bongo na kitanipa furaha ya kweli, basi ni kwenda kujenga na kuishi Msituni,nilijikuta napenda kuishi kwenye misitu ya Iringa, Njombe au Mbeya.

Miaka 3 toka nimerudi nilianza maandalizi ya kulifikia hili, nilishanunua Shamba Kijiji Kimoja huko Njombe la Ekari 20, Nilichofurahi katikati ya hili shamba kuna bwawa kubwa la Maji. Niliona pia Africa Kusini wazungu wengi wamejenga mbali kabisa nje ya Miji. Mm nakwenda Msituni kabisa.

Halafu Msituni kuna utulivu wa aina yake. Napenda kile Kijaniii. Nimeshapanda mazao mbalimbali ya kudumu. Mwaka huu nimeanza kufuga pia. Nilinunua Water Pump na nilishajenga vyumba vyangu viwili. Shamba zima nimezungushia Miti ya Milingoti kama uzio wa shamba langu. Katikati nimepanda Parachichi na Apples nyinyi. Ukweli mazingira yanavutia sana. Kwenye Bwawa nimeanza kufuga Samaki. Pia nina Mizinga ya Nyuki 20 tayari.

Ukweli mjini nimeona mambo ni mengi sana, hakuna utulivu kabisa, presha ya maisha ni kubwa mno. Kila kona ni siasa tu, nimechoka siasa za nchi hii, Kila Kijana Mjini mwanasiasa. kwenye mitandao utakutana na maisha tu ya Mastaa na vituko vyao.

Maisha yangu ya Porini nimepanga kufanya Kilimo na Ufugaji tu, Siku moja moja nitatafuta Kanya au Tshepiso wangu wa Kijijini nakujitafunia. Sitaki Siasa wala negativity ya aina yoyote. Ndoto zangu za Baadae ni kujenga nyumba kubwa Shambani, Kununua Trekta na Mashine nyengine. Siku za Baadae kama nitamiss kuona Mkusanyiko wa watu wengi na Maghorofa basi nitarudi Mjini, nitakwenda moja kwa moja mpaka Airport.

Nitapanda ndege mpaka Ulaya, Marekani, au Asia Nitapumziko huko miezi na miezi halafu nikitosheka narudi porini kwangu Njombe. Mwakani naanza kuvuna Parachichi zangu na Apples. Karibuni sana. Nitajitahidi kuwa narudi hapa Jukwaani kuwapa Mrejesho wa maisha ya porini, faida na changamoto zake.
Mkuu upo vizir, kimsingi unatakiwa huwe imejipanga vya kutosha
Unapoenda kuisha msituni means unajitenga na hadhira ya watu

Kila la kheri i wish kuna siku tukuwa majirani huko msituni chief
 
Ndugu kukaa porini alafu ukawa huna pesa ya kukuwezesha kufanya utakacho kwa wakati ni kutafuta kuzeeka bure,,km unakipato kizur hata kijij kizima waweza ishi peke yako,,,nakushauri kama unaweza kufanya mechanized investment nenda kama huna uwezo usiende maana huo mwili wako ndo utakuwa trekta,chainsaw na utakuwa weeder yaan dawa ya kuangamiza magugu at the end kama una miaka 40 utaonekana una 60+
 
Kila mtu katika maisha kuna kitu anapenda, kila mtu ana tafsiri yake ya maisha na jinsi ya kuyafurahia maisha. Toka nimerudi kutoka South Afrika Kama kuna kitu natamani kufanya kwenye maisha yangu hapa Bongo na kitanipa furaha ya kweli, basi ni kwenda kujenga na kuishi Msituni,nilijikuta napenda kuishi kwenye misitu ya Iringa, Njombe au Mbeya.

Miaka 3 toka nimerudi nilianza maandalizi ya kulifikia hili, nilishanunua Shamba Kijiji Kimoja huko Njombe la Ekari 20, Nilichofurahi katikati ya hili shamba kuna bwawa kubwa la Maji. Niliona pia Africa Kusini wazungu wengi wamejenga mbali kabisa nje ya Miji. Mm nakwenda Msituni kabisa.

Halafu Msituni kuna utulivu wa aina yake. Napenda kile Kijaniii. Nimeshapanda mazao mbalimbali ya kudumu. Mwaka huu nimeanza kufuga pia. Nilinunua Water Pump na nilishajenga vyumba vyangu viwili. Shamba zima nimezungushia Miti ya Milingoti kama uzio wa shamba langu. Katikati nimepanda Parachichi na Apples nyinyi. Ukweli mazingira yanavutia sana. Kwenye Bwawa nimeanza kufuga Samaki. Pia nina Mizinga ya Nyuki 20 tayari.

Ukweli mjini nimeona mambo ni mengi sana, hakuna utulivu kabisa, presha ya maisha ni kubwa mno. Kila kona ni siasa tu, nimechoka siasa za nchi hii, Kila Kijana Mjini mwanasiasa. kwenye mitandao utakutana na maisha tu ya Mastaa na vituko vyao.

Maisha yangu ya Porini nimepanga kufanya Kilimo na Ufugaji tu, Siku moja moja nitatafuta Kanya au Tshepiso wangu wa Kijijini nakujitafunia. Sitaki Siasa wala negativity ya aina yoyote. Ndoto zangu za Baadae ni kujenga nyumba kubwa Shambani, Kununua Trekta na Mashine nyengine. Siku za Baadae kama nitamiss kuona Mkusanyiko wa watu wengi na Maghorofa basi nitarudi Mjini, nitakwenda moja kwa moja mpaka Airport.

Nitapanda ndege mpaka Ulaya, Marekani, au Asia Nitapumziko huko miezi na miezi halafu nikitosheka narudi porini kwangu Njombe. Mwakani naanza kuvuna Parachichi zangu na Apples. Karibuni sana. Nitajitahidi kuwa narudi hapa Jukwaani kuwapa Mrejesho wa maisha ya porini, faida na changamoto zake.
Hata ndio maisha nataka kuishi
 
Hakuna raha kama kuishi hizo area. Kuna kijiji kiko Moro vijijini unaweza dhani ni mbinguni. Kijani throughout the year 2.

Kuna kijiji ninaenda sana hakuna suala la magari wala mikelele, yaani kumepoa. Hakuna heka heka kbs sijui huyu apite na gari utamani hakuna, yaani maisha rahisi. Unaingia ziwani unaomba samaki unaenda pika unalala unaamka fresh kbs. I like that too! All the best!
Mkuu naomba location y Hilo eneo moro
 
Kila mtu katika maisha kuna kitu anapenda, kila mtu ana tafsiri yake ya maisha na jinsi ya kuyafurahia maisha. Toka nimerudi kutoka South Afrika Kama kuna kitu natamani kufanya kwenye maisha yangu hapa Bongo na kitanipa furaha ya kweli, basi ni kwenda kujenga na kuishi Msituni,nilijikuta napenda kuishi kwenye misitu ya Iringa, Njombe au Mbeya.

Miaka 3 toka nimerudi nilianza maandalizi ya kulifikia hili, nilishanunua Shamba Kijiji Kimoja huko Njombe la Ekari 20, Nilichofurahi katikati ya hili shamba kuna bwawa kubwa la Maji. Niliona pia Africa Kusini wazungu wengi wamejenga mbali kabisa nje ya Miji. Mm nakwenda Msituni kabisa.

Halafu Msituni kuna utulivu wa aina yake. Napenda kile Kijaniii. Nimeshapanda mazao mbalimbali ya kudumu. Mwaka huu nimeanza kufuga pia. Nilinunua Water Pump na nilishajenga vyumba vyangu viwili. Shamba zima nimezungushia Miti ya Milingoti kama uzio wa shamba langu. Katikati nimepanda Parachichi na Apples nyinyi. Ukweli mazingira yanavutia sana. Kwenye Bwawa nimeanza kufuga Samaki. Pia nina Mizinga ya Nyuki 20 tayari.

Ukweli mjini nimeona mambo ni mengi sana, hakuna utulivu kabisa, presha ya maisha ni kubwa mno. Kila kona ni siasa tu, nimechoka siasa za nchi hii, Kila Kijana Mjini mwanasiasa. kwenye mitandao utakutana na maisha tu ya Mastaa na vituko vyao.

Maisha yangu ya Porini nimepanga kufanya Kilimo na Ufugaji tu, Siku moja moja nitatafuta Kanya au Tshepiso wangu wa Kijijini nakujitafunia. Sitaki Siasa wala negativity ya aina yoyote. Ndoto zangu za Baadae ni kujenga nyumba kubwa Shambani, Kununua Trekta na Mashine nyengine. Siku za Baadae kama nitamiss kuona Mkusanyiko wa watu wengi na Maghorofa basi nitarudi Mjini, nitakwenda moja kwa moja mpaka Airport.

Nitapanda ndege mpaka Ulaya, Marekani, au Asia Nitapumziko huko miezi na miezi halafu nikitosheka narudi porini kwangu Njombe. Mwakani naanza kuvuna Parachichi zangu na Apples. Karibuni sana. Nitajitahidi kuwa narudi hapa Jukwaani kuwapa Mrejesho wa maisha ya porini, faida na changamoto zake.

Da'Vinci njoo umione mate wetu
 
Mkuu vp? Tunaomba kupata mrejesho wa maisha yako ya porini/msituni; na pia tukipata na picha ya namna halisi maisha yako kwasasa yalivyo huko msituni Njombe itapendeza zaidi kiongozi. Hata mim8 natamani sana kuja kutaishi maisha haya.
 
Back
Top Bottom