Yelawolf49
Member
- Sep 20, 2017
- 73
- 65
Habari, niko curious kwenda jeshi kuna entail nini naskia story kitaa pple scare the living hell out me. Kimazoezi siko vizuri my body iko on the plus side sikuwahi kuwaza kwenda jeshi lakini niko semester ya mwisho chuo nachukua bsc ya computer science.
Im an ophan so inabidi ni mingle na kuomba chances maana soko la ajira we all know liko vipi nikapata hii chance sasa my curiosity ni maisha ya mafunzo yakoje mtu mnene kuna hope za kutoboa? Au nisake other opportunities maana sijawahi hata kwenda jkt sikua drafted.
Anything well be helpful asanteni
Im an ophan so inabidi ni mingle na kuomba chances maana soko la ajira we all know liko vipi nikapata hii chance sasa my curiosity ni maisha ya mafunzo yakoje mtu mnene kuna hope za kutoboa? Au nisake other opportunities maana sijawahi hata kwenda jkt sikua drafted.
Anything well be helpful asanteni