junior mbani
Member
- Sep 16, 2014
- 52
- 59
Mzeee sijakuelewa kwakweli! Unawezaje kwenda kuingia TPDF bila kupitia kozi ya JKT au JWTZ coz ya uprivate? Au meandaliwa kibangala maalum cha kwenda ku piga kikozi JKT au JW kwanza nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
navojua mm n kwamba mtu anayebet n yule wa jkt lakn ukishafankiwa tu kuvaa baka baka ukapiga kozi ya tpdf ile ya miez sta hyo ni lazma upate ajira si ndio?
[/QUOTE
JKT haiajiri, ila ukishachaguliwa kwenda jwtz hiyo tayari ni ajira, hapo ni kuomba Mungu umalize kozi zao tu.
Mzeee sijakuelewa kwakweli! Unawezaje kwenda kuingia TPDF bila kupitia kozi ya JKT au JWTZ coz ya uprivate? Au meandaliwa kibangala maalum cha kwenda ku piga kikozi JKT au JW kwanza nini?
umekosea kidogo tu mkuu,ni maeneo ya BukumbiIyo kaluluma ni mitaa ya usagara
FactMkuu nakushauri kwa herufi kubwa.
KAMA JESHINI HUJAITWA UKAJIUNGE AU HAKUNA MBUYU WA KUKUPA CONNECTION KULE USIJARIBU KWENDA KWA KIPINDI HIKI HASA UKIZINGATIA KUNA BATCH NYINGI ZIMEAHIDIWA AJIRA LAKINI BADO HAWAJAPEWA.
WALE WALIOAJIRIWA JUZI WASIKUFANYE UWE NA TAMAA UKIAMINI ITAKUWA RAHISI KAMA UNAVYODHANI.. WATU WANAISHIA KUJITOLEA MIAKA TELE NA HAWAAMBULII KITU PIA WAPO WANAOISHIA KUWA WALINZI KAMA SUMA SO
MALIZIA DEGREE YAKO THEN UKIONA MTAA HAUELEWEKI KABISA BHASI NENDA JESHI LAKINI JESHI SIO OPTION SAHIHI YA KUTOKA KIMAISHA KAMA UNAVYODHANI.
English hujui kiswahili pia kwako shida .idiotKuwa na heshima wewe
Whatch the f**k you are writing
No one can let you insult our army.
Dah poa mitaa ya kwa babu iyo usagara so nilivyoona ivyo nikashangaa kidogoumekosea kidogo tu mkuu,ni maeneo ya Bukumbi
sawasawa mkuuDah poa mitaa ya kwa babu iyo usagara so nilivyoona ivyo nikashangaa kidogo
Aaaaah hapo nmekuelewa,ila daah moja kwa mojaa mpaka ukae sawa umesha nyooka vyakutoshaHuwa kunataaluma zinakua zinahitajika sana jeshini, mfano mwaka jana kama sio juzi kulifanyika recruitment ya vijana kutoka mtaani na wengine waliopo jkt, ila sifa awe na taaluma ya udaktari, ufamasia na kada zingine muhimu za afya.
Hao waliotokea uraiani hawakupitia jkt walienda moja kwa moja jwtz.
So inawezekana safari hii labda jeshi linataka wataalamu wa ICT.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu mbona povuuu ghaflaaa...!! Maisha magumu aiseeeKweli unaandika uharo huu unataka ukawe mwanajeshi kweli??? Hata kuandika hujui....
Utakwendaje jeshini sasa wewe..sio ajabu hata ule muda wa Uzalendo hutaweza...Yaani hovyo kabisa..Usihangaike utakula tifu mpaka ujue kuandika kwanza.
iko lucky inatokeaga for somebody me kuna charii tulikuwa nae mtaani kapata hii chance na hajawai pitia JKT ni Mungu tu akiamua kukufungulia ridhiki i swear chochote kinawezana chiefMzeee sijakuelewa kwakweli! Unawezaje kwenda kuingia TPDF bila kupitia kozi ya JKT au JWTZ coz ya uprivate? Au meandaliwa kibangala maalum cha kwenda ku piga kikozi JKT au JW kwanza nini?
Hapo safi tp naikubali sana ila ubaya mi nakufuata sheria/orders ndo haiwezekani,nilivyombishi nitapinga tu
Mkuu nakushauri kwa herufi kubwa.
KAMA JESHINI HUJAITWA UKAJIUNGE AU HAKUNA MBUYU WA KUKUPA CONNECTION KULE USIJARIBU KWENDA KWA KIPINDI HIKI HASA UKIZINGATIA KUNA BATCH NYINGI ZIMEAHIDIWA AJIRA LAKINI BADO HAWAJAPEWA...
Huyu anakudanganya, nenda jeshi kisha tokea jeshi ndio uende chuo.Maliza shule kwanza ili cheti kikusaidiee mbeleni
Ndo maana mi na jeshi hapana kabisa...jeshini kupanda vyeo ni kujuana sana unaweza baki private miaka minne na degree yako na kozi huendi wakati huo kuna watoto wadogo ni ma captainUtachezea sana mabanzi na virungu vya MP
Ndo maana mi na jeshi hapana kabisa...jeshini kupanda vyeo ni kujuana sana unaweza baki private miaka minne na degree yako na kozi huendi wakati huo kuna watoto wadogo ni ma captain
[emoji23][emoji23]mkuu kule ajawai kutokea mbishi nenda ukajionee mitama lazima tuHapo safi tp naikubali sana ila ubaya mi nakufuata sheria/orders ndo haiwezekani,nilivyombishi nitapinga tu