Uandishi wako haunihusu, ila kijana nakushauri kama ni tpdf (jwtz) nenda hautakuja jutia maishayako, na ipo siku utakuja nishukuru hapa.
Ila kama ni JKT kujitolea sikushauri otherwise kama unapenda tu jeshi au upate cheti cha jkt kikusaidie kwenye michongoyako mbeleni uko, maana sikuhizi kuajiriwa ni bahati nasibu otherwise uwe na mbanga wakukushika mkono, kama si hivyo ni kama unaenda kubet maisha tu, miaka ya zamani ndo ajira zilikua nje nje tena tulikua tunachagua kabisa, watu mnasema hatutaki polisi, hatutaki magereza nk sisi ni Kivazi tu.
Ila kama mnaenda JKT kupiga kama refresher then mnaenda TPDF(JWTZ) nenda.