Nimepata ajali nikakumbuka ningekuwa na bima ingenisaidia

Nimepata ajali nikakumbuka ningekuwa na bima ingenisaidia

Jumanne Mwita

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2014
Posts
530
Reaction score
1,446
Ukweli mchungu gharama za maisha ni kubwa kwa sasa na kibaya zaidi ni hizi gharama nyeti za afya ni ghali sana kwa sasa nimejikuta nawaza hivi ningekuwa na Bima si ningeokoa hela ila ndio hivyo sina imenibidi nizame mfukoni kugharamia matubabu.
Mungu ni mwema nimepona--------(MP4)_thumb.jpg

Roho inaniuma sana kwa hizi gharama ikiwa huna chochote kwa sasa unakufa bila kupata huduma. Hii ni hatari sana kwa maisha yetu wote kwa ujumla huwezi jua kesho utaamkaje, utaamka na hela zako au utaamka ukiwa huna kitu hapo ndio utajua dunia inazunguruka kumbe.
 
Mungu akupe nguvu upone haraka na urudi kwenye majukumu yako kama kalambwanda mazee....
Ila una bonge la ngeo moja la panga, limeanzia kwenye goti hadi kwenye ogoko mura..😳
Pole sana tata msani....
 
Ukweli mchungu gharama za maisha ni kubwa kwa sasa na kibaya zaidi ni hizi gharama nyeti za afya ni ghali sana kwa sasa nimejikuta nawaza hivi ningekuwa na Bima si ningeokoa hela ila ndio hivyo sina imenibidi nizame mfukoni kugharamia matubabu.
View attachment 3003989
Roho inaniuma sana kwa hizi gharama ikiwa huna chochote kwa sasa unakufa bila kupata huduma. Hii ni hatari sana kwa maisha yetu wote kwa ujumla huwezi jua kesho utaamkaje, utaamka na hela zako au utaamka ukiwa huna kitu hapo ndio utajua dunia inazunguruka kumbe.
Duuh pole Mkuu!
 
Back
Top Bottom