Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Seema wewe mama DMiaka2 sio sasa. Umeskia bei ya mafuta ña vyakula ilivyopanda?
Halafu wewe unaweza kuwa mwanaume bahili hadi kwa mkeo kweli!?
Sasa ulipomwambia unalipwa 2M ulitegemea nini? Acha achezee vikoba vyake hio laki moja na kimsingi jua tu kuwa anacheza mchezo wa elfu 40 kwa week huyo 😂😂😂 ili akipokea aanze ujenzi kwao!Ulimuambia inalipwa vizuri si ndio,pambana tu kaka!
Siyo kosa mkeo kujua unachopata, ila hichokinachopatikana kama hakina mwelekeo wa kuinvest au kuwa na long/short term planning........lazima iwe ivyo.....ila angekuwa anajua tunafanya jambo fulani angekuwa na disipilinipole sana kosa lako kubwa ulilo lifanya ni kumuonyesha salaryslip..hapo tu
ivi umeoa....?Siyo kosa mkeo kujua unachopata, ila hichokinachopatikana kama hakina mwelekeo wa kuinvest au kuwa na long/short term planning........lazima iwe ivyo.....ila angekuwa anajua tunafanya jambo fulani angekuwa na disipilini
Miaka 10 sasaivi umeoa....?