Nimepata ajira wife ameongeza matumizi ya pesa zaidi ya mara mbili

Nimepata ajira wife ameongeza matumizi ya pesa zaidi ya mara mbili

Mquote mleta uzi sasa. Mimi unaniquote kwa sababu gani?
Acha zako basi kwani nikiku quote ndio inamaanisha nakushauri wewe? Sote tupo kwaajili ya kumlenga mtoa maada na sio wewe mimi nimeku quote kwasababu ya kutoa hoja yakumshauri mtoa maada acha utoto bhana.
 
Mkaanga sumu orijinale[emoji23]

Katika vitu mama wa rafiki yangu alituusia kuhusu ndoa ni "Kamwe usimhurumie mwanaume; apply pressure"

Wewe apply tu pressure wanaume wanajua wapi pa kupata pesa. Usijibane bane watazitafuna wenzio
Pressure +Pressure=Force [emoji23][emoji23] sawa nasisi tutatumia force kuicontrol pressure kepebu za hapa na pape, roba za mbao utatulia tu.
 
Acha zako basi kwani nikiku quote ndio inamaanisha nakushauri wewe? Sote tupo kwaajili ya kumlenga mtoa maada na sio wewe mimi nimeku quote kwasababu ya kutoa hoja yakumshauri mtoa maada acha utoto bhana

Acha zako basi kwani nikiku quote ndio inamaanisha nakushauri wewe? Sote tupo kwaajili ya kumlenga mtoa maada na sio wewe mimi nimeku quote kwasababu ya kutoa hoja yakumshauri mtoa maada acha utoto bhana.
Mimi sikuelewi na sijui shida yako ni nini! Ila kwa sababu una akili nyingi, ngoja nikuache.
 
Back
Top Bottom