t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 7,035
- 16,705
Lakini hili sio kosa kuu, ni nidhamu tu ya pesa mke wake hana. Mke wangu kuna akaunti tunashare hadi atm card , lakini hata awe na shida vipi haigusi bila sababu zinazoeleweka.Pole sana kosa lako kubwa ulilo lifanya ni kumuonyesha salaryslip..hapo tu