Jebel
JF-Expert Member
- Jul 10, 2021
- 347
- 2,325
- Thread starter
- #61
Sio kila mbuz atakula kwa urefu wa kamba yake wengine hula kwa huruma ya mchungaj wake, wanawake wanajsahau mapema sana kama mlkua kwenye msoto ukipata Chanel anabadlka mpka unajiulza huyu kawaje na kama ulkua na pesa zkapata naul au kaz ikaisha utamwona visa vyake kila kukicha na mabeg yake mgongon kama ngoni migration Leo kwa Dada ake kesho kwao hatulii tena hata ukiongea hakuelew wala kukuskia kikubwa Mungu atupganie tu watoto wa kiume sis
Spikn from Exprienc
Umenichekesha sana kiongozi