Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] chaaaaAlafu unataka ulale chini kwanini wakati unayo hela au ndio masharti uliyopewa na mganga wako
[emoji23][emoji23][emoji23] akimpata demu mwenye Maisha yake mbona fresh tu naomba niulize we kaka ni hb mie mweusi yani maji ya kunde Ila nna msambwada[emoji38]joseverest nimekulindia nafasi yako, uje ili tumshauri pamoja
dogo hiyo hela ndogo sana na sana..
gross ya 1.2m net yake ni kama laki 8 na nusu hivi..
tena hapo bodi ya mikopo kama hawakudai.
haya sas tuchekeche laki 8 hiyo ulipe kodi, nauli, msosi, umeme, maji etc..
hiyo hela hapo ni kama unaingiza elfu 27 kwa siku
ambapo hata muuza chips au muosha magari na kindoo tu anakuzidi..
nakushauri swala la kuoa au kuishi na mwanamke weka pembeni kabisa.. fanya saving kisha invest na kuinvest na kuinvest tena.. after 5 yrs ndio usake kimwana..
kipindi hiki tafuta girlfriend tu uwe mnakutana weekend..
Twende kule kwenye jukwaa letu Maserati,huku naona maruwe ruwe bora tukajadili blimd spot kuliko huku[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]Umenipatia vyote umekosea kumuunga mkono nani sijui... Subiria wengine watakuja
We upo wap siku hzi aseeeh?Kila la heri mkuu utampata tu
Nikuulize ww hapo na kujidai kwako kule huonekaniWe upo wap siku hzi aseeeh?
Anhaa....Umenipatia vyote umekosea kumuunga mkono nani sijui... Subiria wengine watakuja
Twende bhna huku wanatuchoshaNikuulize ww hapo na kujidai kwako kule huonekani
Mh! Mbuzi kafia kwa muuza butcher.nina hadi kitanda maisha ni kusaidiana