Nimepata ajira ya mshahara wa milioni 1.2, natafuta mke tuanze maisha

Nimepata ajira ya mshahara wa milioni 1.2, natafuta mke tuanze maisha

joseverest nimekulindia nafasi yako, uje ili tumshauri pamoja


dogo hiyo hela ndogo sana na sana..


gross ya 1.2m net yake ni kama laki 8 na nusu hivi..

tena hapo bodi ya mikopo kama hawakudai.

haya sas tuchekeche laki 8 hiyo ulipe kodi, nauli, msosi, umeme, maji etc..


hiyo hela hapo ni kama unaingiza elfu 27 kwa siku
ambapo hata muuza chips au muosha magari na kindoo tu anakuzidi..

nakushauri swala la kuoa au kuishi na mwanamke weka pembeni kabisa.. fanya saving kisha invest na kuinvest na kuinvest tena.. after 5 yrs ndio usake kimwana..

kipindi hiki tafuta girlfriend tu uwe mnakutana weekend..
sidhani kama kipato ni chanzo cha ndoa ingekua hivyo wazee wetu wasingeo kabisa maana enzi za mwalimu maisha ilikua ni "KUFUNGA MKANDA
"
 
Fanya kazi mwaka mmoja kwanza.
Jiwekee akiba
Jitafutie kipato nje ya huo mshahara
Jiendeleze ki Elimu
Mke atajileta mwenyewe.
Hiyo jiendeleze kielimu ili iweje ...mwambie afanye investment tu ujasiriamali na vitega uchumi atawin ...
 
Mil. 1.2 tu unapiga kelele namna hii je ukipokea kama wanayopokea Wanaume utasemaje? Tulia na sent zako hizo mjini si lolote si chochote ndio salary yangu hiyo mwanamke

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23] akimpata demu mwenye Maisha yake mbona fresh tu naomba niulize we kaka ni hb mie mweusi yani maji ya kunde Ila nna msambwada[emoji38]

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisseh JF noma ...kumbe 1.2 M ni nyingi eehhh ......Dada jaribu kunywa maji mengi Si unaona vigezo kibao vinakutoa nje ya ushindani ...
 
Hiyo jiendeleze kielimu ili iweje ...mwambie afanye investment tu ujasiriamali na vitega uchumi atawin ...
Huwezi jua atafanikiwa wapi. ..ni vizuri ukawekeza kotekote. ..biashara zikigoma. ..unaweza kupata kazi nzuri zaidi yenye kipato bora zaidi na kwa urahisi zaidi.

Hata kwenye hizo biashara elimu yake inaweza kumsaidia.
 
Mnategemea moate hela ndio muoe mnashida sana,hela ina kuja vip kwenye suala la kuoa? Wengine wanaingiza 7000 kwa siku na wameoa na wanawatoto kbsa. Kuwa na hela sio kuoa,kuoa ni nafsi yako ikusukume na uamue.hata kabla ya huo mshahara ulikua unapata huduma zote za muhim so hzo huduma unazigawanya mara mbili ww na mkeo fresh tu maisha yanasonga. Ukisubiri upate hela nying ndo uone aisee utachina,vzr kuanza na mwanamke maisha ya chini huku mskishrikiana kutokana na huo mshahara wako kutoka sehem moja kwenda juu zaid. Anaweza kukusaidia mawazo na akasimamia hata genge mwsho mnatoboa,nyie mnaotka kuoa mpka muwe matajiri mnapataga shida sana kwenye ndoa zenu. Oa muanze maisha pamoja na heshima inakuwepo
Mkuu pesa ina mata sana kwenye suala la kuoa nowdays ....tunaona uku mitaani wanaume wanavyodharaulika ....wake zao wanawanyanyasa sana kisa uchumi poor ....
 
Sina nyumba, japo niko kwenye process za kununua kiwanja, kuhusu gari...kwasasa nina pikipiki.

Sina ndugu wala mtoto anayenitegemea

Laki tano naweza kukupa.
Kwa mpango huo nikuja kujioolesha mwezi ujao nunua jiko nzuri lenye oven. Nunua fridge kubwa milango miwili.. nunua friza la kilo 100... halafu jiko la kuchoma nyama me ninalo naweza kukuzia nikalikuta.... ..

... halafu me napenda kunywa nitakufundisha
 
Back
Top Bottom