middle east
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 1,308
- 1,690
Naelewa miss koz msambwanda unao wa kutosha tu ....kaz kwakosasa hapa ngoja nikae chini nijumlishe na kutoa .nigawanye nizidishe .hili zali sio la nchi hii yaani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naelewa miss koz msambwanda unao wa kutosha tu ....kaz kwakosasa hapa ngoja nikae chini nijumlishe na kutoa .nigawanye nizidishe .hili zali sio la nchi hii yaani.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] makubwa hayaNipo mimi mkuu, mimi sio wa sampuli hiyo.
Samahani.Mume wa sampuli yako sitaki hata kumsikia japo nna shida ya mume mfyuuuuuuu
Sent using Jamii Forums mobile app
umeona mambo ya kula pale namba moja lakini? napenda kula vizuri mimi????? Mungu anipe nini tena?Naelewa miss koz msambwanda unao wa kutosha tu ....kaz kwako
sidhani kama kipato ni chanzo cha ndoa ingekua hivyo wazee wetu wasingeo kabisa maana enzi za mwalimu maisha ilikua ni "KUFUNGA MKANDAjoseverest nimekulindia nafasi yako, uje ili tumshauri pamoja
dogo hiyo hela ndogo sana na sana..
gross ya 1.2m net yake ni kama laki 8 na nusu hivi..
tena hapo bodi ya mikopo kama hawakudai.
haya sas tuchekeche laki 8 hiyo ulipe kodi, nauli, msosi, umeme, maji etc..
hiyo hela hapo ni kama unaingiza elfu 27 kwa siku
ambapo hata muuza chips au muosha magari na kindoo tu anakuzidi..
nakushauri swala la kuoa au kuishi na mwanamke weka pembeni kabisa.. fanya saving kisha invest na kuinvest na kuinvest tena.. after 5 yrs ndio usake kimwana..
kipindi hiki tafuta girlfriend tu uwe mnakutana weekend..
Hiyo jiendeleze kielimu ili iweje ...mwambie afanye investment tu ujasiriamali na vitega uchumi atawin ...Fanya kazi mwaka mmoja kwanza.
Jiwekee akiba
Jitafutie kipato nje ya huo mshahara
Jiendeleze ki Elimu
Mke atajileta mwenyewe.
mkuu kama hujasoma ukiwa na kalio mubashara si inatosha?Samahani.
Njoo Pm tuongee zaidi mkuu.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] makubwa haya
Sent using Jamii Forums mobile app
Sina nyumba, japo niko kwenye process za kununua kiwanja, kuhusu gari...kwasasa nina pikipiki.Umeshanunua Nyumba na gari?
Je unandugu wangapi wanakutegemea ?
Upo tayari kunipa laki tano we ubaki na laki saba?
Hamna shida mkuu.1.2m hata kama ni net, ni vijisenti tu, visikutie kiwewe. Wasichana wanaojitambua wala hatakukubali
Hayo mashart hata mganga hayawezi [emoji1]Umeshanunua Nyumba na gari?
Je unandugu wangapi wanakutegemea ?
Upo tayari kunipa laki tano we ubaki na laki saba?
Sawa mkuu thanks.Mil. 1.2 tu unapiga kelele namna hii je ukipokea kama wanayopokea Wanaume utasemaje? Tulia na sent zako hizo mjini si lolote si chochote ndio salary yangu hiyo mwanamke
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisseh JF noma ...kumbe 1.2 M ni nyingi eehhh ......Dada jaribu kunywa maji mengi Si unaona vigezo kibao vinakutoa nje ya ushindani ...[emoji23][emoji23][emoji23] akimpata demu mwenye Maisha yake mbona fresh tu naomba niulize we kaka ni hb mie mweusi yani maji ya kunde Ila nna msambwada[emoji38]
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi jua atafanikiwa wapi. ..ni vizuri ukawekeza kotekote. ..biashara zikigoma. ..unaweza kupata kazi nzuri zaidi yenye kipato bora zaidi na kwa urahisi zaidi.Hiyo jiendeleze kielimu ili iweje ...mwambie afanye investment tu ujasiriamali na vitega uchumi atawin ...
Lmao [emoji23][emoji23][emoji23] nyingi kwako ww labdaAisseh JF noma ...kumbe 1.2 M ni nyingi eehhh ......Dada jaribu kunywa maji mengi Si unaona vigezo kibao vinakutoa nje ya ushindani ...
Mkuu pesa ina mata sana kwenye suala la kuoa nowdays ....tunaona uku mitaani wanaume wanavyodharaulika ....wake zao wanawanyanyasa sana kisa uchumi poor ....Mnategemea moate hela ndio muoe mnashida sana,hela ina kuja vip kwenye suala la kuoa? Wengine wanaingiza 7000 kwa siku na wameoa na wanawatoto kbsa. Kuwa na hela sio kuoa,kuoa ni nafsi yako ikusukume na uamue.hata kabla ya huo mshahara ulikua unapata huduma zote za muhim so hzo huduma unazigawanya mara mbili ww na mkeo fresh tu maisha yanasonga. Ukisubiri upate hela nying ndo uone aisee utachina,vzr kuanza na mwanamke maisha ya chini huku mskishrikiana kutokana na huo mshahara wako kutoka sehem moja kwenda juu zaid. Anaweza kukusaidia mawazo na akasimamia hata genge mwsho mnatoboa,nyie mnaotka kuoa mpka muwe matajiri mnapataga shida sana kwenye ndoa zenu. Oa muanze maisha pamoja na heshima inakuwepo
Kwa mpango huo nikuja kujioolesha mwezi ujao nunua jiko nzuri lenye oven. Nunua fridge kubwa milango miwili.. nunua friza la kilo 100... halafu jiko la kuchoma nyama me ninalo naweza kukuzia nikalikuta.... ..Sina nyumba, japo niko kwenye process za kununua kiwanja, kuhusu gari...kwasasa nina pikipiki.
Sina ndugu wala mtoto anayenitegemea
Laki tano naweza kukupa.