MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,947
- 26,074
Anaenda kuolewa na huyu bwana ajiandae kisaikolojia kabisaaa mtu wa hvi ana shida sana.
Yaani mtu unatoka tu huko unaanza kutangazia watu eti ooh sijui nalipwa 1.2 mara sijui deal nyingne napata zaid ya hyo sijui nataka nijenge mara nna pikipk ...ooh mara kilipanda kikashuka kikakaa pale sijui ikawaje hakuna mume hapa ...
Sijui kama atapata mke ila wezi atawapata
[HASHTAG]#mtoa[/HASHTAG] mada una asili ya majivuno badilika mwanaume hatakiwi kua hivyo *#
Sent using Jamii Forums mobile app
mie sababu moja kuu iliyofanya nimkubali MR AIR hakuwah kujitapa jaman ht sk 1!tena wakat huo nakumbuka kuna ngoma km 4 zilikua zinadai zinanipenda mashauzi mengiiiiiiiiiiiii!blah blah kibao! na yy nikamwambia nimekuchagua kwasababu huna mashauzi mix!jaman mwanaume mwenye mashauzi anakera! yaan sijui km nimewa date na mwanamum mwenye mashauzi!maana najua sana kuenjoy mtu mm lol!sasa hapa kuja kujitangaza huku kote ili iwaj