Mwanamke wa mithali 31
JF-Expert Member
- Apr 10, 2024
- 1,159
- 2,577
- Thread starter
-
- #81
AhsantePole sana mkuu kwa kadhia hiyo.
Nchi ngumu hii jamani..fanya kama umenunua kwa ajili ya matumizi yako.
litumie mwenyewe na familia yako
๐๐Nchi ngumu hii jamani..
I feel sorry kwake..
Kwa mwanamke sawa. Sisi wanaume tunaoga maji baridi.Kwanza umenicheka nguvu ya kukutafutia natoa wapi ๐๐๐๐
Huenda tumetofautiana Hadi ASUBUH ya Leo nimeoga maji ya moto
Wewe ni dalali kumbe, nilijua mnakuaganna stoo zenuMteja ALINIGIZA hii blanket alitaka nimfanyie delivery,nikaenda kariakoo kununua nikaanza safari kumpelekea,nafika nichukue cm nimpgie nimwambie nimefika ananiambia basi mume wangu atanunua mliman city,na KANIBLOCK juu
Sasa jamani nauza naomba kuludsha hela niliyonunulia tu,nauza 40,000
Hili ni blanket soft/laini kwaajili ya kujifunika.
Namba zangu hizi nipo dar mbezi ya kimara
0754088347View attachment 2983192
Dalali kivipi nimedalalia wapWewe ni dalali kumbe, nilijua mnakuaganna stoo zenu
Hahaha sawaKwa mwanamke sawa. Sisi wanaume tunaoga maji baridi.
Hahahahaaaahaahahaaaaa nmecheka kwa sauti sana ...Ninunulie kipenz uje unitangazeโฆ.maana nimemiss mambo haya๐
Kila mtu na mwili wake. Mimi nina blanket ambazo sio nzito sana kuna wakati nazitumia hapa hapa dar. Hata kipindi cha joto lazima nijifunike shuka.kibamba ipi ina baridi ?????????????? jamani acheni masikhara nyie Dar kuna baridi?????????????? Urusi, Uk, Mbeya, Rukwa, Iringa wasemeje??????????????????????? Mimi nimezaliwa na kukulia Dar hakuna baridi hata siku moja. hapa nina miaka zaidi ya 5 sijawahi oga maji ya moto nikiwa Dar