#COVID19 Nimepata Chanjo ya Corona nchini Marekani, puuzeni uzushi

#COVID19 Nimepata Chanjo ya Corona nchini Marekani, puuzeni uzushi

Kama baba anawztia ujinga watoto mtabaki mkimchekea tu! Haiwezekani muiangamize familia nzima kwa ajili ya mtu mmoja.
Ni vizuri umeelezea habari ya baba na watoto, ondoa chanzo cha matatizo utatatua matatizo, hawa wengine ni distractions tu.
 
Nilisema hivyo hivyo....maumiv ya corona ni habari tofauti...umewah jiskia kujisaidia ukashindwa jisaidia wewe...hata kuoga unashindwa...unalia tu kwa maumivu.mie nimepima had uric acid hakuna...hebu toa domo lako hapa...mpk leo misuli ya miguu na shingo vinapasua...
wajazeni ujinga wengine sisi wengine PASUA KICHWA SANA!
 
Unatesa mno...nililia...nilikua na maumiv makali sana ya mwili.kwa siku 4 mfululizo ..maumv kama umeanguka toka juu ...misuli inauma mno...na vichomi mafua makali na kukoa kikohiz kikavu.. nilifka hosp nikahis labda ndo nimeanza kusumbuliwa sukari.. nilijua sukari iko 0..hata kukaa kwa kiti huwez nilimwambia dk chek na ngoma nianze mara 1 dose ..majibu yanakuja toka jionii...dk ananiambia una corona...yaan ulimi ni kama unajikata na ubongo husikii kitu ..nilikua nabugia chumv nifeel wapi had leo nasugulia ulimi pilipili kama inasense hakuna kitu...huez simama even 4min .miguu inauma na kutetemeka mno..misuli ya shingon inauma mno ..ah hapa a corona naiheshm
Pole sana. Hayo maumivu yanatokana na micro embolism, vipande vidogo vidogo vya damu vilivyoganda kutokana na action ya corona virus. Hata mimi nilipata Corona ila haikunisumbua kwasababu huwa na tabia ya kunywa maji ya vitunguu saumu. Kitunguu saumu huwa kina anticoagulant property (kuzuia damu kuganda) na hivyo kupunguza kabisa kutokea microemboli.

Hii micro embolism ndiyo husababisha kifo cha Corona, kwa kuwa damu inashindwa kwenda sehemu muhimu ambazo zina mishipa myembamba (nanometer), mfano nephron, alveoli, coronary arteries n.k.
 
Pole sana. Hayo maumivu yanatokana na micro embolism, vipande vidogo vidogo vya damu vilivyoganda kutokana na action ya corona virus. Hata mimi nilipata Corona ila haikunisumbua kwasababu huwa na tabia ya kunywa maji ya vitunguu saumu. Kitunguu saumu huwa kina anticoagulant property (kuzuia damu kuganda) na hivyo kupunguza kabisa kutokea microemboli.

Hii micro embolism ndiyo husababisha kifo cha Corona, kwa kuwa damu inashindwa kwenda sehemu muhimu ambazo zina mishipa myembamba, mfano nephron, alveoli, coronary arteries n.k
Mm kitunguu nakimeza kama dawa..je itasaidia..siwez kikitafuna kwakwel
 
Bila picha hii in chai iliyozidi Tangawizi na,malimau.
 
Mm kitunguu nakimeza kama dawa..je itasaidia..siwez kikitafuna kwakwel
Usitafune kitunguu, utaunguza linings za kwenye mdomo.

Unatakiwa usage punje mbili kwa kutumia 'grater' halafu unaweka hiyo 'paste' kwenye glasi ya maji na kunywa. Ukikamulia ndimu kidogo kwenye glasi itaondoa harufu mdomoni.

Pia kabla ya kuweka paste kwenye glasi unaweza kuinusa kwanza ( for 10 minutes), ili kemikali za kitunguu (mostly allicin) ziweze kuingia kwenye mapafu na kwenye bloodstream moja kwa moja. Badala ya kupita kwenye digestive system.

Hii ya kunusa ni effective against virus replication kwasababu allicin huwa inasifa ya ku-dilute fat (making fat soluble) iliyoko kwenye mucus na hivyo kufanya maeneo hayo kuwa unfavorable for replication.
 
Usitafune kitunguu, utaunguza linings za kwenye mdomo.

Unatakiwa usage punje mbili kwa kutumia 'grater' halafu unaweka hiyo 'paste' kwenye glasi ya maji na kunywa. Ukikamulia ndimu kidogo kwenye glasi itaondoa harufu mdomoni.

Pia kabla ya kuweka paste kwenye glasi unaweza kuinusa kwanza ( for 10 minutes) ili kemikali za kitunguu (mostly allicin) ziweze kuingia kwenye mapafu na kwenda kwenye bloodstrem moja kwa moja. Badala ya kupita kwenye digestion system.


Ohh sawa nimekuelewa..shukran
 
Mimi nitachanja hiyo ya J& J hizi safari bila chanjo ni uongo unaweza kudondoka airport za watu au ukauzoa kwenye transit ukaupeleka home hasa wa SA ni kiboko kweli masaa machache tuu umeondoka...
 
Mambo hayo
Screenshot_20210310-095818.jpg
 
Nimefanikiwa kupata chanjo ya Corona hapa napoishi na kufanya kazi Dallas, Texas. Nimepata dose mbili za sindano kwenye bega ya kwanza tarehe 5 mwezi wa pili na ya pili tarehe 4 mwezi wa tatu. Nimepata chanjo kutoka kampuni ya Moderna. Nilivimba kidogo kwenye bega kwa mara zote lakini sijapata homa kama watu wengine wanapata homa kwenye sindano ya pili.

Chanjo ni muhimu na zinaokoa maisha hasa kwa wale wenye au ambao waliwahi kuwa na pumu, kisukari, wazee, wenye magojwa ya moyo na wamegundua pia wenye type A ya damu nao wanaumwa sana wakipata corona. Asilimia 90% ya watu wakipata hawazidiwi hivyo inawezekana hata wewe umeshapata Corona bila kujua. Lakini baada ya siku 90 unaweza kupata tena na inaweza kuwa mbaya zaidi maana mwili unakuwa hauna nguvu sana. Kwasababu kirusi cha corona kimekaa zaidi ya mwaka kinabadilika ili kiweze kuingia kirahisi kwenye miili yetu hii kitaalamu wanaita variant. Hivyo mpaka sasa kuna variant ya South Africa, England, Brazil na ili ya China. Ya South Africa ndiyo kali kuliko zote na ndiyo imeingia Tanzania kwa sasa na kusababisha watu kufa na kuumwa sana kulinganisha na ile ya mwanzo.

Kwenye kinga kuna kinga nyingi sana cha maana ni upatikanaji, usalama na chanjo kufanya kazi. Kuna vipimo vikubwa viwili vya kuzingatia cha kwanza ni kinga ya chanjo yaani ambayo inazuia mtu kupata Corona lakini cha pili je mtu akipata corona ambaye ana chanjo ataumwa kiasi cha kulazwa au kuzidiwa?. Hii ya south Africa inaonyesha kinga haifanyi kazi vizuri hasa kwa hii chanjo ambayo nchi za Africa inauziwa za Oxford Astrazenica au AZD1222. Hawajatoa data kuonyesha je mtu akiumwa inakuwaje au kinga inakuwaje. Lakini chanjo ya Johnson and Johnson imeonyesha inakinga ya corona ya south Africa kwa asilimia 57% lakini hata ukipata corona ni karibu 100% hautazidiwa. Lakini mpaka sasa HAKUNA MTU ALIYEPATA CHANJO YEYOTE POPOTE NA KUUMWA NA KUZIDIWA KIASI CHA KULAZWA. Hii ina maana gani ni kwamba inawezekana kinga ikawa ndogo lakini watu nhawatapoteza maisha ambao wana chanjo

Tanzania wanaogopa chanjo kama hii niliyopewa kwasababu inatumia technologia ya mRNA ambayo ni ya DNA na wanaogopa eti DNA zetu wazungu watabadilisha. Wakati nimeenda kupata chanjo kulikuwa na wazungu wengi wamepewa chanjo kama yangu sasa sijui hizi habari ni za wapi?!!!. Lakini kuna chanjo ambazo zina technologia kama chanjo za zamani mfano Sputnik V ambayo ni ya Urusi inatumia technologia ya zamani ya chanjo na sasa wamefanya utafiti unaonyesha inakinga aslimia 90%. Lakini hii ina order nyingi hasa huko South America itachukua muda kuipata.

Hivyo ushauri wangu ni kwa serikali kutumia chanjo yeyote kasoro ile ya China ambayo haina data ambazo watu wamezionana kusema zipo sawa. Lakini hii wenzetu wa Kenya, Nigeria, Ghana wamepata chanjo yenyewe inawezekana kinga ni ndogo kwa hii ya south Africa lakini ukipata chanjo corona itakuwa kama mafua ya kawaida haitakuuwa kama sasa hivi. Hivyo nashauri bado ni bora sana kuliko kukaa na kutokufanya maamuzi yeyote. Tukiweza kuweka order hii ya J&J ni zuri kwasababu ni sindano mmoja na inahitaji jokofu la kawaidia kuifadhi.

Tatizo serikali inaweza kusema wataalamu wanachukungaza lakini mpaka sasa hakuna habari yeyote uchunguzi umefika wapi, nani yupo kwenye hiyo team inawezekana ni maneno tu.
Hebu thibitisha watu wa Tanzania waliokufa na Corona, una vithibitisho?
 
Same here. Nimechanja ya kwanza ya Pfizer, baada ya wiki tatu nitachanja ya pili. USA.

Sikuumwa kichwa wala kupata homa.

Watanzania wengi waliopo Tanzania wanajazwa ujinga na serikali inayohoji chanjo kwa sababu za kisiasa.

Serikali ingesema tu haina hela za kuwapa wananchi chanjo, watu wangeisaidia.

Ajabu ni kuona watu wanaogopa chanjo halafu wengine wanavaa mpaka chupi za mtumba hawajui zimepakwa nini!

Dawa wanazotumia hawatengenezi wao, maji yanasafishwa na kemikali za ku import, karibu kila kitu tuna import. Na uwezo wetu wa kuhakiki viwango ni mdogo sana.

Halafu mtu anashikia bango chanjo!
You nailed it bro!Siasa hizi!
 
Mbn mkuu ww mzembe sana washasem kuwa chanjo ni mRn vaccine hivyo ikiingia katika mwili inaingia katika DNA inaamul kuzalisha protein itakayo zaliz kinga za kupingana na virus vya ugonjwa huo kwa maana hiyo itachukua muda kuonyesha matokeo na moja ya matokeo kuleta kizaz chenye mapungufu ya mfumo wa urithi sasa ww unakuja unaongeaaa oooh mkuu wa nchi mjinga unadhani anafanya maamuzi kujikinga ww mkuu kuna madiaspora wengine wanajitambua lakini www huna
Jana nilienda Wal Mart nikakuta wamweka kikaratasi kinachosema wanatoa chanjo bure, nilishangaa sana. Yaani hii chanjo imekuwa kama ile ya Flu.
 
Yaani nimepata taarifa za watu ninaowajua kabisa wengine majirani zangu huko home Isanga vijana tuu harafu niseme sichanji kisa wapiga mbiu ambao wao wakiugua hizo Oxygen mitungi inakua karibu kumi imemzunguka harafu niwe sawa nao sio kweli...

Yaan maskini tunapukutika balaa naskia hizo mitungi ni gharama
 
Yaan maskini tunapukutika balaa naskia hizo mitungi ni gharama
Oxygen sio gharama sema hatujajiandaa ndio maana chache zilizopo wameweka bei kubwa ili wenye pesa ndefu ndio watibiwe watu weusi ni watu weusi tuu mkuu Dunia ipo kwenye majanga mnahimizana mabarabara badala ya kujali afya kwanza maendeleo baadae...
 
Tumeambiwa wataalamu wetu wanatafiti formula ya chanjo yetu, ila itakuwa miujiza ya dunia tz kugudua chanjo wakat hata formula ya panadol tunatumia ya mabeberu
 
Back
Top Bottom