#COVID19 Nimepata Chanjo ya Corona nchini Marekani, puuzeni uzushi

Kuna mtu kafa huko sauth sababu ya kufuata chanjo
 
Kwani lazima kila mtu achanjwe?! Hata chanjo ikiletwa si lazima kila mtu achanjwe. Ukijisikia kuchanjwa sawa,asietaka sawa.
Dawa au chanjo isio ya lazima siitaki mwilini mwangu.
Sawa, sio lazima lakini ni ujinga kwa viongozi kusambaza propaganda inayolenga kuwafanya wananchi wawe wajinga!
 
Kwani lazima kila mtu achanjwe?! Hata chanjo ikiletwa si lazima kila mtu achanjwe. Ukijisikia kuchanjwa sawa,asietaka sawa.
Dawa au chanjo isio ya lazima siitaki mwilini mwangu.
You think, act and behave the way society shaped you.
You have been wrongly indoctrinated!
 
Sua imepoteza wasomi had unakaa chini na kusema Eh Mungu nini hiki...
Usitishe watu sio kweli kuwa SUA imepoteza wasomi wengi kwa sababu ya Corona.....kama una uhakika na hilo taja idadi! tetea chanjo sio kuzusha habari na kutia watu hofu!
 
Mkuu nasikia watu wanaenda Nairobi kupata chanjo.
 
Kwa nini Kenya
kawadharau mpaka madaktari wetu
Halafu anakwambia ujifukize na uombe mamamamayeeeee
Akafe mbele useless Kenge
 
Tupe nauli na sis tuende
 
Your browser is not able to display this video.
 
Kila siku watu wanakufa ,unaona ni wimbi la watu weng kufa sababu ni maarufu ,hiv kila anaekufa kila mkoa tukipost kama hao watu mashuhur mnaodai wamekufa na corona kutakalika ,si itaonekana ni vifo vya kutisha nchini ??


Hata hivyo kuna vifo vya kutisha sasa hivi hapa Nchini.
 
Mkishamalizana na chanjo...

Kesho mtaambiwa kuna corona mpya imeingia...
Covid 19+...

Utadhani series za simu...
 
Kwa Nini chanjo ya Corona imekuja haraka Sana hivyo kuliko chanjo za magonjwa Kama ukimwi ambayo Yana athari kubwa huku kwetu afrika?
Na kwa Nini mnapiga promo ya hiZi chanjo Nini kipo nyuma ya pazia?
 
Kama mtakumbuka kipindi Corona iliporipuka mara ya kwanza bwana billgate aliionya afrika kwamba kutatokea vifo zaidi ya milioni 30 vinavyotokana na korona akaja na mpango wa chanjo na ifanyiwe majaribio africa....Africa iliposhtuka kupitia mkuu wa who ndio wakaona waifanyie majaribio huko kwao,Sina imani na hiZi chanjo zenu Zina walakini Sana,wewe kwa kuwa uko USA basi ukila sumu unataka na watu wote wale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…