#COVID19 Nimepata Chanjo ya Corona nchini Marekani, puuzeni uzushi

[emoji23] Duh! Wewe kweli ilikutenda vibaya
Jumamos niliwehuka na jumatatu🤣...leo hii ndo nmeweza kaa sebulen...toka asbh nimekaa nilikua siwez naona makalio yana vichomi sijui miba..mbavu sasa...hom sikuwaambia .nimewaambia jumatano juzi wamepanic mno! Nilikua naongea sentens 1 ya 2 haitok nabak natoa macho
 
Mie natamani sana hao wanaokataa chanjo waugue....huu ugonjwa mie naweza kesha siku nzima nikihadithia jinsi unavyotesa... unanyong'onyeza mno kwa muda mrefu nowonder wazee inawaonda mapema sana..ni mateso makali sana
Utajuaje kama hawajaugua?maana tunaambiwa wanaoumwa na kupona ni wengi kuliko wanaokufa.
 
Mmmh kweli hii corona ya sasa ni kiboko, wacha tuendelee kuchukua tahadhari tu
 
Sasa hivi nimeacha hata kulala na shemeji yenu kwa hofu kuwa anaweza kuja nao kutoka huko sokoni
 
Binafsi nafanyia shuhuri zangu kariakoo, Dar es Salaam..!! Kiukweli phase 1 ya Corona ndo niliumwa japo sikupima ila zile dalili niliziona niza Covid..!! Lakini sikufikia hali kama hiyo zaidi mafua tu.. sikuwah kulala kisa nimezidiwa wala sikuwah kuacha kwenda kariakoo kutekeleza majukumu mpaka nilipokuja kupona kwa mchanganyiko wa Tangawizi, Malimao na kitunguu swaumu basi..!!

Phase 2 binafsi sijaumwa..!! Na ata watu wengi wa kariakoo waliumwa phase 1 ila phase 2 ninaowajua sijaona ambae ameumwa Covid.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hivi nimeacha hata kulala na shemeji yenu kwa hofu kuwa anaweza kuja nao kutoka huko sokoni
Mimi nilijihamisha mwenyewe..nilikua nataka nife asinione mtu😀..nahangaika alone maana maswak meng kwan unaumwa nn? At first day nilihis nimeconceive🤣🤣...shenz...nilikua nyonde mno...sielew nn nataka
 
Kwa hiyo mkuu saivi huvai barakoa tena na unaingia kwenye makundi makubwa ya watu kama kawaida.
 

Mimi phase 1 sikuumwa kabisa nadhan nna zaidi ya mwaka sijaumwa kitu( hapa nilikua kama kibarua kwa wahindi vile sikua na muda wa kurelax)..hii ya term hii imenipata coz siutumikishi mwili kbs..ninalala mno nimerelax mno ..mm sitembei kbs ...uvivu ..plus nna pumu ....yaan najuta endelea kuuchosha mwili ..bora nirudie maisha ya nyuma heka heka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…