mdudu
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 7,013
- 10,000
Umeamua kuweka rehani maisha yako sababu ya kusafiri?
Hongera mkuu.
Mkuu,Watanzania wajuaji sana kumbe kichwani hamnazo.
Chanjo zingine ok.
Imefika hatua ya chanjo ya corona wameanza mara eeeh mzungu anataka kutuua
Siyo unuaji ni ujinga uliopitiliza,haya Matàga simu ,chupi ,vyakula yanauofaa zote zimeyoka kwa wadhungu,kwenye mapaji na pembeni ya mabega Kuna Alana za chanjo,hizo hawailizi.
Mataga yamaulizana eti hii mbona imewahi? Yànashindwa kujua kwa Sasa Dunia imekua ni kitu kimoja,zamani ulitaka kupigwa simu Hadi uende Postal na Simu,Barua ulitaka kuituma Hadi mwezi mmoja ndiyo inafika.