#COVID19 Nimepata chanjo ya COVID-19

Bro nifanyeje ili niweze kufika njee ya nchi pls tusaidie na wengine,Tupe mwanga
Mchawi pesa tu mkuu,,ukiwa na pesa nitakupa connection unapotaka kwenda popote duniani..
Watu wa viza wapo..
 
Ukhanithi unakunyemelea, maana wataalamu wanasema.inaweza kusbabisha ugumba na ukhanithi. Hongera anyway
Kama sasa bila chanjo gari(dushe) inatembea Kilometers 1 masaa 8 je ukishapata chanjo gari(dushe) itatembea masaa mangapi kwa kilometer 1? Kama sio siku nzima?

Hayo ni majuto mkuu..
Waache wachanje..
 
Nashauri chanjo ingeanza kwa wale wanakamati walioshauri chanjo itolewe, yani kitu kiwe na faida halafu wanakamati wapendekeze wengine ndio wawe vipaumbele kwenye hiyo chanjo, kwanini isianzie kwao?
 
Umeamua kuweka rehani maisha yako sababu ya kusafiri?

Hongera mkuu.
Mkuu hivyo vikadi tutavipata kkoo.Muda utaongea Kama saini ya Mama unaweza ipata tutashindwa hicho kikadi?
 

Mkuu kumekuwa na habari za mikuyenge kudorora baada ya chanjo. Mkuu in case wewe ni ME unaweza kutoa mrejesho?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…