Nimepata chuo ila mkopo nimekosa, course ni Bsc Education

Nimepata chuo ila mkopo nimekosa, course ni Bsc Education

Ikimbu

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2014
Posts
301
Reaction score
32
Naomben mnisaidie pia mnipe ushauri nifanye nini maana nimepata chuo Sua ada yake ni 1,263,000/= bado vitu vingine chuo kinafunguliwa tarehe 13/10/2014. Nifanye nini mwenye kuguswa na tatizo hili anisaidie japo hata pesa kidogo za matumizi ya chuon. Nijibu nitakupa namba ya Simu.
 
Nasubili ushauri wenu na msaada wenu wana Jf.
 
Pole sana ndugu yangu

Jaribu kutembelea nyumba ya ibada unapofanyia ibada,uwaeleze kwa kina watakusaidia

Jaribu pia kupita kwa ndugu zako upitishe bakuli wanaweza pia kukusaidia

Muombe sana Mungu atakufungulia njia,
 
Asante sana Ambition Boy! Matumizi ya chuo ni Makubwa sana yanahitaji msaada.
 
Asante sana Ze Heby kwa ushauri wako.
 
Pole. Kwani unajisomesha? Itisha kikao cha familia/ukoo upresent issue yako. Mbona wanachangia send off / harusi/misiba? Elimu si zaidi ya hayo? Wakikataa jiqtagangaze yatima.
 
Asante sana Maringeni kwa ushauri wako!
 
Pole. Kwani unajisomesha? Itisha kikao cha familia/ukoo upresent issue yako. Mbona wanachangia send off / harusi/misiba? Elimu si zaidi ya hayo? Wakikataa jiqtagangaze yatima.

Namshauri hivyo pia.
 
Course yangu ilikuwa Priority. Bcs Education. Nahitaji Msaada chuo ni tarehe 13/10/2014.
 
Kaka,walisema co kila education kozi mkopo utapata hapana ila education ya masomo mawili
 
mwanangu itisha kikao cha sendoff to schoo siokwa mume waambie hata harusi huitaji.
 
Hivi kwa nn zile hela za ukawa BMK wasipiganie hata zielekezwe kwa vijana kupunguza walau idadi ya walokosa mkopoo mana ni vijana wengi sana.pia wanasiasa ni wakati wao wa kutuonyesha uzalendo wa kweli hapa na c kupigania nafasi za uongozi tu.Pia kuna haja ya loan bord kupitisha bakuli kwa wadau mbalimbali ikiwamo matajiri wa kubwa kuchangia mfuko wa elimu vyuo vikuu na c kuonyesha umwamba wao ktk kuwakebehi watu wasochagua coz priorty(HAKI YA KUSOMA NI YA KILA MTU AMA) na kama mkiyaacha haya vijana 28000 na waasa mwakani muingie ktk OPERATION NG‘OA CCM kisha wakajipange wakiwa wapinzani kama kenya
 
Mhhh kujitangaza yatima hali wazazi wote wapo, usifanye hivyo mdogo wangu huu ushauri siyo usijemtenda dhambi Mungu.
 
Back
Top Bottom