lelulelu
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 444
- 400
Wakuu nafanyeje, naomba ushauri
Nimepata connection kuna jamaa yangu flani yeye anasoma huko nje ananiambia wanasoma wanalipwa kila mwezi around 3M za kitanzania, ananiambia na mimi nikitaka nafasi napata.
Ila tatizo mimi nimeajiriwa serikalini,na ruhusa sio rahisi kupata.
Je niache kazi niende kusoma huko nje?
Au niache kwenda kusoma niendelee na kazi zetu za mshahara laki tano kwa mwezi?
Nimepata connection kuna jamaa yangu flani yeye anasoma huko nje ananiambia wanasoma wanalipwa kila mwezi around 3M za kitanzania, ananiambia na mimi nikitaka nafasi napata.
Ila tatizo mimi nimeajiriwa serikalini,na ruhusa sio rahisi kupata.
Je niache kazi niende kusoma huko nje?
Au niache kwenda kusoma niendelee na kazi zetu za mshahara laki tano kwa mwezi?