Nimepata connection ya kwenda kusoma nje ila sasa ninafanya kazi. Naomba ushauri

Nimepata connection ya kwenda kusoma nje ila sasa ninafanya kazi. Naomba ushauri

Nilichokuambia ufanye ndo kitathibitisha unachokisema maana huwezi jua labda huyo jamaa yako yuko ulaya ila saivi hana malinda na ndo anachokuitia hicho.
Poor thinking. Sijui watu kama wewe mmezaliwa na wazazi gani. Kutwa kuongea mambo ya hovyohovyo. Huwezi kuona upuuzi huu kwny social media za wakenya au mataifa mengine.
 
Anasoma kaka,kapiga diploma kama mbili hivi anasema huko wewe ukiwa unasoma unalipwavtuu,hivyo anabadili kozi kila mwaka ili qpate pesa zilee na anapiga mishe nuingine za vibarua,aananiambia nikienda huko ntasahau hyo kazi nayoringia,ni uhakika anasoma huko ni mtu wangu sana
Jamaa yako yupo nchi gani na kakupa process gani zakufuata ili upate hiyo nafasi?
Si vibaya ukiweka hapa ili watakaoona kuna haja na kuchangamkia hiyo fursa ya kielimu wajiongeze.
 
Maneno Tu Yasikuridhishe Ukaacha Kazi Huku Ukawahi Ulaya
Ndege Mmoja Mkononi Ni Bora Kuliko Ndege Mia Porini Ambao Unaweza Usiwapate
 
Kama umri wako ni miaka 25-30 na huna minyororo ya mahusiano, omba ruksa kwa mwajili wako ukasome. Chukua mkopo utakaokuwezesha kukamilisha mahitaji yote ya safari ikiwemo Visa ya uanafunzi kutoka huko utakakosoma, ukifanikiwa...Sepa!

Hesabu kuwa umeacha KAZI ingawa umeaga. Kwa hakika hata ukienda kusoma ukamaliza na kurudi utakuta huko kazini kwako mambo ni yale yale,utasota na vyeti vyako vipya vya Ulaya. Angalia uwezekano wa kujiajili.
 
Nimekumbuka dada mmoja,alikuwa bank moja post nzuri tu,akapata bwana mzungu akaamua kwenda kuishi huko na mzungu wake atamsomesha Masters na kumtafutia kazi,akamshauri aandike barua ya kuacha kazi,kweli akaandika akasepa na mzungu wake,ndani ya miaka 2 wakamwagana,hakuna cha kusoma wala nini,anaomba msaada huku bongo wamtumie pesa za matumizi,kurudi huku anaona noma.
 
Nimekumbuka dada mmoja,alikuwa bank moja post nzuri tu,akapata bwana mzungu akaamua kwenda kuishi huko na mzungu wake atamsomesha Masters na kumtafutia kazi,akamshauri aandike barua ya kuacha kazi,kweli akaandika akasepa na mzungu wake,ndani ya miaka 2 wakamwagana,hakuna cha kusoma wala nini,anaomba msaada huku bongo wamtumie pesa za matumizi,kurudi huku anaona noma.
Nchi gani ?Maana kama nchi za maana kama USA au UK unaweza kupiga kazi huku unajisomesha. Na kama ana makaratasi akimaliza kusoma anachapa kazi. Ila kama ni mzungu pori sijui wa Ukraine,Hungary sijui Romania hapo lazima achanganyikiwe.
 
Namshangaa anaposema ni ngumu kupata ruhusa. Labda mwenzetu yuko serikali tofauti na hii ya jamhuri tunayoitumikia wengine.
Mkuu tatizo wabongo hawatoi msaada ulioomba wanamtoa msaada wanapujua wao

Mimi nimeuliza swali moja tu ikiwa nitanyimwa ruhusa kazini kipi bora kati ya kuacha kazi na kuacba fursa ya kusoma ?

Hapo ndo nataka ushauri huko kwingine niachieni mwenyewe wakuu
 
Humu JF utoto mwingi siku hizi sanasana ni kuulizia tigo na ujingaujinga mtupu.

Inategemea unachoenda kusoma Ila kwanza jaribu kuomba ruhusa ukipata nafasi hiyo uone itakuwaje, fanya hata wakupe likizo isiyo na malipo. Then nenda kasome.

Ukikosa ruhusa nenda kasome kama kweli umejiridhisha Kuna shule na unapata hayo malipo maana yatakusaidia kuishi bila shida ina maana ukipiga kazi zako za kubeba box hela unasevu hata ukiamua kurudi unakuwa na kitu Cha kuanzia hata kabiashara fulani mitumba ya mashine ,magari nk.
Haya ndo mawazo niliyoyataka kutoka kwa wana Jf,asante sana mkuu.

Kiufupi huyu mtu najuana nae kitambo,alitoka huku zaidi ya miaka 10 na ana viwanja vingi hapa dar na ameshajenga mjengo mmoja hatari sana na mimi nimehusika katika harakati zote za maendeleo yake ya hapa,so hawezi kunidanganya kwa lolote na kuna mambo mengi namuagizia huniletea hivyo sio mtu wa kusikia ni mtu wangu hasa kaka.

Ananiambia nafasi ya masomo ipo kuna utaratibu fulani wa kufuata ila kaniambia kwanza kama nitakubali ndio atanipa utaratibu wote ulivyo

Ananiambia muda wa likizo anajichanganya anatafuta kazi za ahovyo,kuna siku alisema kapata kazi ya mgahawa kuhudumia wateja na kusaidia kazi ndogondogo kwa siku hulipwa 30000
So mkuu huyo mtu ni uhakika.
Ila shida nilitaka kupata maoni kwamba kuacha kazi nikajiripua huko ikoje nashkuru umetia neno mkuu
 
Huyo jamaa kuna uwekezaji wa maana aliofanya huku nyumbani ? Isije ukaenda ukafuata njia yake, mwanafunzi unalipwa lakini ni hela ya kutosha kukufanya uishi tu huko nje hamna cha maana utafanya, na hivyo vibarua ni mambo yale yale utaendelea kama utafanya kazi ambayo ni profession yako huko nje...Soma huko nje,tafuta kibarua au kazi ukiwa na mpango wa kuwekeza nyumbani vinginevyo utakuwa tu unapoteza muda wako...fainali uzeeni sijui kama uzee ukikuta huko nje utaweza kusurvive
Jamaa kajipanga kaka,ana viwanja vingi tu na kasimamisha mjengo wake upo kamili kabisa kila kitu.
 
una umri gani?
Nimetimiza miaka 27 kaka.
Una familia inyokutegemea kwa maana ya mke na watoto?
Mke na mtoto mmoja kaka.
Unachoenda kusomea unahisi kina mantiki ukimaliza?
Ni udaktari kaka na ninapenda sana kuwa daktari kaka kwa sababu diploma yangu ni clinical medicine.
Una ndoto ya kuishi ulaya?
Sikuwa na ndoto ya kuishi ulaya,nilikuwa na ndoto ya kwenda ulaya kwa kutembea au ishu maalumu kisha nirudi,sikuwa na ndoto ya kuishi moja kww moja huko kaka
Sio kwa dharau lakini mshahara wa laki5 ni wa kima cha chini sana kukufanya uache kufuatilia ndoto zako, huo mshahara hata muuza genge anaepata faida ya 20k kwa siku au boda anaingiza kipato zaidi
Kabisa sasa pesa haitoshi japokuwa naweza kufight kwa mwezi naingiza kama 800K hivi ila bado natamani fursa zaidi kaka.
Bila kupepesa, ikiwa umejiridhisha, nenda kasome tena kasome kitu cha maana ukimaliza upate kazi huko huko ufanyr vitu vya maana na kuliingizia taifa fedha za kigeni.
Kwa maana mkuu nisisite kuacha kazi niminyimwa ruhusa,unashauri niruhusiwe ama laa mimi nichomoke tu.
Kama umri wako ni chini ya 35, ni sahihi kuchukua risk hiyo hata ukiachana na kazi ya serikali bado una muda wa kupigania ndoto zako....
Umri unaruhusu ndo kwanza nina 27 kaka.
Tofauti kubwa ya tanzania na majirani, wenzetu wanapeleka sana nguvu kazi nje ya nchi na inawasaidia sana mfano kenya, uganda, nigeria, ghana n.k ifike mahali badala ya vijana kusubiri ajira waende huko magharibi kwenye kazi na fursa fedha wanazopata wawekeze nyumbani.
Kabisa kaka hlo mimi ndio lengo langu kaka yaani ninahamu nikasome kwa bidii,nisichague kazi,nipige vibarua nitunze pesa nirudi home
 
Kumbe kupo salama! Kuna mtu aliwahi kunisimulia mambo ya hovyo sana kuhusu Italy nimeishi nikiamini hivyo nahisi nilidanganywa basi!
Nimeishi huko sana, huo upuuzi unaosemwa haupo. Ni tabia ya wabongo tu kuropokwa vitu wasivyokuwa na uhakika navyo.
 
Kumbe kupo salama! Kuna mtu aliwahi kunisimulia mambo ya hovyo sana kuhusu Italy nimeishi nikiamini hivyo nahisi nilidanganywa basi!
Achana na hao wahuni mkuu. Ulaya ni sehemu nzuri na salama sana kama umeenda kwa malengo na upo kisheria. Nimekaa Uingereza miaka 5. Tena huko sheria zinakulinda sana, hata unyasi haukugusi.
 
Back
Top Bottom