lelulelu
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 444
- 400
- Thread starter
- #81
Asante kaka kwa ushauri wako huuAcha hiyo kazi nenda kasome, Hawa wanaocomment wengi hawana uelewa na haya mambo. Mwambie jamaa akuunganishe nenda kapige shule. Hiyo 3M kwa wazungu ni pesa ndogo Sana. Ila kwa bongo ni kubwa ndio maana wanashangaa tu hapa. Wamezoea kulipwa laki tatu.