Nimepata connection ya kwenda kusoma nje ila sasa ninafanya kazi. Naomba ushauri

Asante kaka kwa ushauri wako huu
 
Achana na hao wahuni mkuu. Ulaya ni sehemu nzuri na salama sana kama umeenda kwa malengo na upo kisheria. Nimekaa Uingereza miaka 5. Tena huko sheria zinakulinda sana, hata unyasi haukugusi.

Ile nchi itafikia viongozi wote + waziri wa nchi watakuwa waisilamu mzehe,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…