Nimepata jamani nimepata

Exactly..
Yeye kajiweka uchi mwenyewe.
Wameamua kufanya zinaa hadharani.
Kaamua kuliamsha dude asiloweza kulishusha.
Sisi tufanyaje sasa.? Tuna watch tuu mpaka mwisho.
 
Naona Smart911 kabadili account anajiita FINIR


rap beast
 
hongera kwa moyo wako kukubali kupenda na kufanya maamuzi mazuri na magumu ... ubarikiwe na uwe mwaminifu mpaka utakaopokufa...... michepuko hupunguza stress..... acha michepuko au tumia condom... kinga ni bora kuliko tiba
Una ushaur mzur mpka nakupendaga miss chagga ....ukifikia maamuz ya mahondaw ntatangaza nia

rap beast
 
Duu Rubii aisee kumbe Unayajua Mambo yote katika Admin aukutiaye Bundle...
 
hongera kwa moyo wako kukubali kupenda na kufanya maamuzi mazuri na magumu ... ubarikiwe na uwe mwaminifu mpaka utakaopokufa...... michepuko hupunguza stress..... acha michepuko au tumia condom... kinga ni bora kuliko tiba
Ushauri huu

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Code za wahenga hazijawahi kumuacha mtu salama, lazima ujichanganye.
 
hongera kwa moyo wako kukubali kupenda na kufanya maamuzi mazuri na magumu ... ubarikiwe na uwe mwaminifu mpaka utakaopokufa...... michepuko hupunguza stress..... acha michepuko au tumia condom... kinga ni bora kuliko tiba
Aache michepuko afu atumie condom!! Sijakuelewa hapo maana km anaacha michepuko condom aitumie kwa huyu alompata?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…