Nimepata jamani nimepata

Umemsifia as if mnaishi bustani ya Eden... Achana na hizo bana, nijuavyo mimi mapenzi ya hadithi ni ya mashaka mashaka au upande mmoja unataki kujiamisha... Stop that bana kila mwenye kuyajua mapenzi ana mahaba yasiyoandikika kama yakwako... Sijaona logic..................
 
Naona wala ubuyu Leo upo half time! Tunawangoja huku mjue
 
Maisha yanaend kas mno

Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
 
Hongera na ukawe Mwema kwa uliye mpata,acha malalamishi hayatokujenga kwa chochote akikosea zungumza nae badala ya kulalamika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ok,maana nilikuwa najiandaa kuj.
vizuri!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…