Usije baadae ukaanza lia, ooh jamani nimepatwaaa, nimepatwaaa!
Mungu awatangulie. Peaneni password za ID zenu ili kuondoa hisia za kuchepukia humu humu mlipopatana. Ninachowahakikishia, now that you have proclaimed your love, shetani hatawaacha. Hivyo ni Mungu pekee atakaye wavusha; maana yeye ndio ASILI YA UPENDO.
Mungu awatangulie. Peaneni password za ID zenu ili kuondoa hisia za kuchepukia humu humu mlipopatana. Ninachowahakikishia, now that you have proclaimed your love, shetani hatawaacha. Hivyo ni Mungu pekee atakaye wavusha; maana yeye ndio ASILI YA UPENDO.
broo ndoivo bana mdogo ako nshapatikana asee.. now i'm back to square one with a blessings in disguise..!
broo ndoivo bana mdogo ako nshapatikana asee..i'm back to square one with a blessings in disguise..!
Sasa kama wewe mama yake una zubaa zubaa je? hahaa