Nimepata jamani nimepata

Nimepata jamani nimepata

exactly yes my lovely hubby... si nianze kufanya mazoezi ya kutembea ukumbini kabisa nisije kutia aibuuu wakuja mimiii...! teh teh

Mbona unaigiza? Kwani wkt ule ulipokuwa una fanya mazoezi alikuwa nani vile!! Afu mbona anasema bado anamega mzigo au...?
 
Duuu hili jukwaa halina limepoteza uhalisia wake kabisa
Anyway let's enjoy
 
Mbona unaigiza? Kwani wkt ule ulipokuwa una fanya mazoezi alikuwa nani vile!! Afu mbona anasema bado anamega mzigo au...?

Are u mistaken or??? mimi sijawahi igiza hata yale maigizo ya kishuleshule siyajui.. unaongelea mambo ya early 60's wewee dont beat a dead horse..
 
God is great kwakweli! As I searched for mume mume, I thank his aboundant blessings over me. He gave me a gently and wonderful man ever met before. We are in the early stage of malovee but i'm certainly sure that he's loving and caring one.
Naahidi kukupenda na kujipenda katika hali yoyote na wakati wowote na kuishi nawe kwa amani bila ugomvi. Its the way you teach me, warn me n definitely got along with me,! I love you darling.! You really make my heart bampbamp. Nakupenda sana mkulima wangu
FINIR....

Jamani mbona hujanitaarifu? Hata hivyo barikiwa sana naendelea kupiga goti
 
Very disappointed..nlikutongozaga zaman nashangaa u had to wait mpaka upost thread kweli?? Ulisahau kupitia old PM tu unishtue...

usikate tamaa jamn best mungu yu pamoja nawe najua amekuandalia kitu hatareeeeee.. ulikua wapi weye au ndio majeraha??? anyaway nani iko tenda veve rafiki ya mimi jaman??? Nani????
 
ndo nlikua nataka kukupa mrejesho privately lakin siunajua watu wanatalk n talk n talk n taaaalk.......

Kwa hizi early stages make it extremely personal trust me si kila mtu analifurahia hili....!!!both sexes
 
Back
Top Bottom