Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hizi early stages make it extremely personal trust me si kila mtu analifurahia hili....!!!both sexes
An African woman's brain bhana....Dah we love you anyway!
Soma tu uhalisia wa post na comment zake utaelewa mpenz
Au vuta popukoni aka bisi enjoy kama mm
aliepost kapost kamaliza yake..wakucoment nao wanacomment kivyao..nakumbuka kwenye bios miaka ileeeee tulisomaga aina za midomo ya ndege.....wengine mireefuuu yakunyooka, wengine mirefuuu yakupinda, wengine imetawanyika n.k.. tabu tupu yan anyway kila mmoja anaongea kulingana na domo lake..
walipanga usioleweee hao wanadamu weeeeee ila wema wa mungu umekuzungukaa...umenizunguka wemaa umenizungukaa...zungukaa zungukaa... teh kazi unayooo..
Sherehekea tuu! Msukuma hajui km dunia inazunguka, ngoja atoke kwenye fungate la birthday tushuhudie filamu ya maangamizi!
aliepost kapost kamaliza yake..wakucoment nao wanacomment kivyao..nakumbuka kwenye bios miaka ileeeee tulisomaga aina za midomo ya ndege.....wengine mireefuuu yakunyooka, wengine mirefuuu yakupinda, wengine imetawanyika n.k.. tabu tupu yan anyway kila mmoja anaongea kulingana na domo lake..
walipanga usioleweee hao wanadamu weeeeee ila wema wa mungu umekuzungukaa...umenizunguka wemaa umenizungukaa...zungukaa zungukaa... teh kazi unayooo..
walipanga usioleweee hao wanadamu weeeeee ila wema wa mungu umekuzungukaa...umenizunguka wemaa umenizungukaa...zungukaa zungukaa... teh kazi unayooo..
wee mbona povu linakutoka lakin??? nimekukosea nini mimi mpaka umeniandama kiasi hiko heeeeeeeeh!!!!
wee mbona povu linakutoka lakin??? nimekukosea nini mimi mpaka umeniandama kiasi hiko heeeeeeeeh!!!!