barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
we jamaa mchokozi sana, duh!!Na huyu Smart ni mwanaume wa ngapu??
Watu weuweee wapambe Team Roho mbaya wanaisoma namba
Nawashauri chukueni fomu kwa Heaven Sent mjoin team roho mbaya, naona mna vigezoTeam roho mbaya hujawahi kumuacha mtu salama.
Team roho mbayaaa!Wee mwanamke umenishinda tabia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Shunie geniveros dark angel
Nawashauri chukueni fomu kwa Heaven Sent mjoin team roho mbaya, naona mna vigezo
Unipe link nikafoloHa ha a hapa nimekakumbuka kagrupu kangu fulani kaubuyu sijuwi nikakafukue maana naona member waubuyu wanaongezekaa
Team roho mbaya hujawahi kumuacha mtu salama.
Team roho mbayaaa!
Utafikiri nyie bado mabikira loh[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Unipe link nikafolo
Anaekaa lisaa bila kuleta ubuyu namleftishaNitakupa na Cheo cha umoderator
Utafikiri huna bwana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Team roho mbayaaa!
Utafikiri nyie bado mabikira loh[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Eve umenichokaNawashauri chukueni fomu kwa Heaven Sent mjoin team roho mbaya, naona mna vigezo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nitakupa na Cheo cha umoderator
Nitaomba rubii aanze na ubuyu wa uchaganiAnaekaa lisaa bila kuleta ubuyu namleftisha
hongera kwa moyo wako kukubali kupenda na kufanya maamuzi mazuri na magumu ... ubarikiwe na uwe mwaminifu mpaka utakaopokufa...... michepuko hupunguza stress..... acha michepuko au tumia condom... kinga ni bora kuliko tiba
Nakuaminia dada ake hiyo itasaidia kuepuka mamluki grupuni.Anaekaa lisaa bila kuleta ubuyu namleftisha
Nitaomba rubii aanze na ubuyu wa uchagani